Acha wavae ili upate ujasiri wa kuyashinda, maana huwez kusema umeshinda vishawishi wkt hujakutana navyo, vaeni mtakavyo watakao naswa sawa, watakao kwepa sawa, ila acha ngano ikue pamoja na magugu, yuamkini hao wavaao nguo fupi wataurithi ufalme wa mbinguni ila mm
SIELEWI
Hilo nalo ni wazo aisee maana unaweza kuta kajikwaa, ko bora upime kwanza Marytina, ukikuta uko salama, weka out akikacha nawe mkache tafuta mwingine mbona wapo wengi xn wanafuta
Hongera sana kwa ulichokieleza, mm naona bora umuweke waz kwa kila kitu coz ukifcha na ikaja julikana utaonekana km bado tabia hyo unayo. Hakuna jambo la siri hapa duniani, so jisalimishe mwenyewe, na ukisema ukwel wako utakuwa umetua mzigo mkubwa moyoni mwako kuliko kukaa na kitu moyoni halafu...
Km dem ndo kaamua kumbwaga, jamaa akubali yaishe, akimbembeleza na dem akija kukubali siku likitibuka tena dem atakuwa anaringa na kusema mi nilikuwa sikutaki ww ndo uling'ang'ania. Ko kuepusha shar bora ambwage tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.