Recent content by Mr. Sikuelewi

  1. M

    Tukemee wanawake wanaovaa nguo fupi

    Acha wavae ili upate ujasiri wa kuyashinda, maana huwez kusema umeshinda vishawishi wkt hujakutana navyo, vaeni mtakavyo watakao naswa sawa, watakao kwepa sawa, ila acha ngano ikue pamoja na magugu, yuamkini hao wavaao nguo fupi wataurithi ufalme wa mbinguni ila mm SIELEWI
  2. M

    Faida 5 za mke kutembea nje ya ndoa

    Mapengo 17 Hiv nikuweke kwenye kundi gani kati ya haya? A. Faster learner B. Middle learner C. Durable learner D. Low thinking capacity [ ]
  3. M

    Nimewahi kuwa changudoa, nimjulishe?

    Hilo nalo ni wazo aisee maana unaweza kuta kajikwaa, ko bora upime kwanza Marytina, ukikuta uko salama, weka out akikacha nawe mkache tafuta mwingine mbona wapo wengi xn wanafuta
  4. M

    Nimewahi kuwa changudoa, nimjulishe?

    Hongera sana kwa ulichokieleza, mm naona bora umuweke waz kwa kila kitu coz ukifcha na ikaja julikana utaonekana km bado tabia hyo unayo. Hakuna jambo la siri hapa duniani, so jisalimishe mwenyewe, na ukisema ukwel wako utakuwa umetua mzigo mkubwa moyoni mwako kuliko kukaa na kitu moyoni halafu...
  5. M

    Ushauri wako wa mhimu

    Km dem ndo kaamua kumbwaga, jamaa akubali yaishe, akimbembeleza na dem akija kukubali siku likitibuka tena dem atakuwa anaringa na kusema mi nilikuwa sikutaki ww ndo uling'ang'ania. Ko kuepusha shar bora ambwage tu.
  6. M

    Ukistaajabu ya Musa

    Hiv kwann watu bado wanajiachia na wake za watu? Mo11 chukulia mkeo ndo anagegedwa je unaweza kufurahi?
  7. M

    Uke kuvua kondom

    HODI HUMU NDANI. Du bro we noma, ila plz jarbu kuwa na dem mmoja aisee!!
Back
Top Bottom