uliyepost hii thread, acha KUJIONESHA ZOMBIE! Tuseme wewe kwako habari ni kifaa cha CHADEMA?!!! Bila shaka ulitoka na DIV. 5 shuleni! Mbona sare za jeshi zimetajwa na kuoneshwa? Mbona kuna pesa, simu na laptop zimeporwa? vyote hivyo kwako si habari? Mbona kuna bangi na gongo imekamatwa? Yote...
Nasikitika sana kwamba warembo hawa walidanganywa wakaingia kichwakichwa kwenye mapigano wasojua sababu, chanzo wala hatima yake, sasa wakati niandikapo comment hii nahisi wengi wao wameuawa kwa makombora ya jeshi la serikali waloichokoza yakisaidiwa na majeshi ya nchi rafiki na wapenda amani...
Filpo, Inaelekea wewe pia umepungukiwa busara na hekima, kwa kumshambulia Mh. Lema waziwazi! Ningekuona mwenye busara kama ungeishia kuwasihi wamalize tofauti zao za kimtazamo wa mambo kindugu, kwa maslahi ya chama na Tanzania tunayotaka kuijenga!
Tanzanzania ya sasa inaelekea kubaya! Kosa tulilolifanya 2010 tusilirudie tena 2015! Nchi yetu inatia aibu kwa visa vya ajabuajabu! Meri ni ya Tanzania, ina mzigo wa mtanzania, tena wachunguzi wa mambo wameshamfahamu mpaka jina, lakini tusubiri tuone kama serikali itachukua hatua kali au...
Swala la katiba ni swala kubwa hivyo ni vema zikafanyika jitihada za kutosha kuhakikisha tunakwenda pamoja(na wenzetu haswa wenye mtazamo tofauti na sisi CCM) badala ya kutumia "Wingi wetu" kwani mwisho wa safari tukienda hivi watakuwepo watakaodai kuwa katiba mpya sio yao na hivyo kuikosesha...
MKE MWEMA MTU HUPEWA NA BWANA
Mungu amekupa akili na ufahamu, kukuwezesha kumtambua mke mwema uliyeandaliwa na Bwana; Mke afaaye ni yule unayeweza kumpenda siku zote za maisha yako, asiwe mzigo wala usiwe mzigo kwake, mke afaaye ni yule mnayeendana kifikra, kiimani, kimaadili na kimuono wa mambo...
Manyerere, mara nyingi nilikuwa nikitofautiana na wewe katika masuala mbalimbali, hasa tunapozungumzia siasa za ndani ya nchi yetu tz, kwa leo nakuunga mkono na kukupongeza kwamba umeona mbali hadi kufikia kuachana na mawazo finyu ya kuwapaka mafuta viongozi hata kama hawajaoga...
Sina hakika kama kweli zito amefikia maamuzi haya! kama ni kweli nadhani sitakosea nikisema kijana mwenzetu amekurupuka, huko vyuoni anakotaka kukimbilia anakujua vizuri? Ni kweli ameona panamfaa zaidi? Binafsi namuona kama muoga na mtu asiyeaminika, matamshi yake katika siku za karibuni...
Mimi hapo nimekosa comment kwa sasa, ila nawaahidi kulifanyia utafiti wa kina ndani ya kipindi kifupi iwezekanavyo na matokeo ya utafiti wangu nitayaweka wazi kwa kila mdau aweze kupitia na kuchambua.
Namshukuru initiator of the motion!
Labda tu niseme kila mtu aendelee kuamini mtazamo na...
Nchi yetu watu wa aina hii mbona ni wengi tu, hiyo ni sampuli moja tu, fika hosipitalini, shuleni ofisini nk. kote kumejaa fake professionals!
:A S-fire1:
JESHI LA POLISI limeacha wajibu wake wa kulinda raia na mali zao. HAWASITAHILI kuendelea kulipwa mishahara bali kufunguliwa mashitaka ya utesaji na kuendesha mauaji ya raia wasiostahili kufa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.