Hamna mwenyedhamira ya kweli na tanzania mpk sasa
Wote wanaangalia ulaji tu
Maana serikal kupingana na serikal ni dhahiri kua kuna mengi yanakuja
Better angetoa kauli maana hii ni aibu kwa nchi yangu
Tunashukuru kwa taarifa
Ila ungeweka detail zaid ingesaidia sana wana jamii kupata uelewa
Mie naulizia hiyo namba tatu,je naweza pata more details kama
Imetengenezwa wapi,ina warant ya muda gani ,bei kwa bila mkopo na bei kwa mkopo inakua na riba kiasi gani ,na je usalama wa hela ya anaetaka kwa...
Wakati unaendelea na kutafuta kazi
Plan ya biashara ulionayo ninnzuri sana na wala haijitaji mtaji mkubwa
Nakushauri tuliza akili anza maandalia ya kuiandaa hiyo biashara huku unaendelea kutafuta kazi,kwa pamja utafanikiwa na kutokuja kua tegemez kwa mwajiri.....waajiri wanatufanya kua watumwa
Dah nimefurah sana
Ila sijui kama nitakua sijachelewa
Je nikiwa nimeshafanya white cement na ile under cort.naweza kuja malizia na hii rangi au maandaliz yanatakiwa tangu awali
Majibu yako yatanijenga sana fundi.
Good topic mr
Mie concern yangu kubwa ni kwa hizi allowance ambazo wanapeana kwa minajili ya kua non taxed,kama allowance za wabunge au sis offc.
Kuchukua allowance na kuja kurefund back claims
Tuziangalie hiz sheria vema na makundi ambayo tanapaswa kunufaika na hili na sio wenye nacho zaid...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.