Ukitaka kujadili uzi huu fikiri kidogo nje ya box kwanza. Nani anayejua ratiba za msafara wa rais au wa PM? Kwa speed wanayotembea kwenye msafara rais hawezi hata kuona mabango na kusema atasimama njiani. Protokali za kiusalama haziruhusu msafara ule usimame popote. Hivyo kwa akili ya kawaida...
ADC wa prezidaa nijuavyo huwa anakuwa mmoja sema anakuwa na backup incase ya emergency. Uteuzi wake mara nyingi anafanyiwa vetting na inteligencia ya jeshi na inteligencia ya usalama wa taifa kwa kuangalia ubobezi wake katika masuala ya usalama. Hawi mpambe kama mpambe tu wakubeba speech za...
kwa serikali sikivu ya ccm huu ni mwanzo tu wa mwaka na itakapofika mwezi wa 10 tunahitimisha uchaguzi mkuu matukio haya yatakuwa yamezoeleka kwa watz wengi maana wataua sana na kututia sana vilema ili kubaki madarakani. Poleni kwa wote mliokutwa na majanga haya
Katika hili kama uzembe ukiwa ni kwa viongozi wa kitaifa nao inabidi tuwawajibishe. Ni lazima kuonesha utofauti kama kweli tunafanya modern politics sio tunakuwa tunafanya yaleyale tu. kila uchaguzi yaani sie hatujifunzi kila siku hapana chama kifanye tathimini na kuwanyooshea vidole wote...
Upo sahihi kwa asilimia kubwa mie mwenyewe nimelishuhudia hili ccm wamefanya lobbying kubwa sana kuhakikisha wanawatu wao wanajiandisha kwenye chaguzi hizi za serikali ya mitaa. mie walinifata na kuniuliza kama mie ni mwanaccm nikawakubalia ndio wakaniambia kuna swala la kujiandikisha kwenye...
Hili ni tatizo kubwa sana na hofu yangu ya kila mara. Tumekuwa tukisema mara nyingi chadema kinapaswa kuandaa viongozi makini kuanzia ngazi zote. Sasa hivi tunauongozi karibu kila wilaya na mikoa inakuaje wanashindwa kuratibu mambo madogo kama haya. Hao viongozi wa wilaya na mikoa kazi yao ni...
Tunamshukuru kwa dhati kabisa Mzee 6 na timu vin'gang'anizi yote. Tena salamu zifike kwa mzee wa vijisenti na mama Migiro. bila kumsahau mwanaume muimba taarabu mwenye tumbo kubwa duniani (anajina la kamnyama). Wamefanya kazi nzuri kabisa katika uandishi wao na uendeshaji wao wa bunge la katiba...
Nimetokea kuwa mfuatiliaji mzuri sana wa makala za bwana Polepole na ongea yake ya Polepole ila uchambuzi wake wa mambo hasa haya ya katiba ni hazina kubwa sana kwa taifa hili.
Watanzania tunajua wao walioko huko wanaandika katiba ya ccm maana katiba ya watanzania tutaindika baada ya uchaguzi...
hahhahha kuna vitu vinachekesha kweli eti Dr. Migiro na Chenge kuwasilisha maoni ya wachache kwenye issue ya mahakama tu ila mambo mengine wamekubaliana hakuna haja. Siku hizi nikitaka kucheka nakuja kusoma habari za BMK
Suluhu sina uhakika kama ipo kwa hali ya nchi yetu ndugu Pasco, maana kwa nchi za wenzetu ambao wameweka uzalendo mbele na wanajua haki zao, hakuna chombo chochote kinachothubutu kwenda nje ya makubaliano. Wananchi wangeisha ingia mitaani na kugomea mchakato usiendelee. Ila kwetu sie tunaendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.