Aisee mimi naishi Mwanza ila cjawahi kufika Kampala but Kampala milima yake wameitendea haki,milima imejengwa na kupangiliwa vizuri ila milima ya mwanza ni aibu kwa Tz na jiji kwa ujumla
Walioshangilia ni watu aliokuja nao kwenye msafara si wanakagera hata ukisikia hiyo clip utasikia hata ushangiliaji ni wa kinafiki tena wa sauti za kiume
Anyway mara nyingi wanaokubali nyumba zao kuuzwa kiraisi uwa na majumba mengine ya siri tena makubwa na mazuri sana so wanaamua kusacriface moja km chambo na wakati mwingine unakuta hizo nyumba uwa zimejengwa kwa pesa za kimagumashi/kifisadi zaidi so haiumi kiviileee,but nyumba uliojenga kwa...
Aisee huyu majeruhi cjui alipona vipi vipi make huyo ndo ameleta msala wa Hili zogo,kuingia hifadhi ya taifa tena bila kibali tena unaenda kuwinda wanyama watu?????Mara nyingi ubaki story tu kuwa baba/kaka/mjomba alienda kutafuta mboga hifadhini ila huu ni mwaka wa pili hasirudi na watu...
Ila nawe ni bonge ya goigoi kama si kilaza haswaa,shida hapa ni kwamba unapoweka pesa fixed account kuna faida kubwa unatakiwa upate kama riba na km 6b means riba yake ni kubwa sana,so ina maana hii bodi ilikuwa inacheza na riba ambazo zinaishia mikononi mwao,ingekuwa hz riba zinaongeza ujazo...
9)Kujigeuza geuza mara kwa mara ukiwa usingizini;Wataalam wanasema unapokuwa umelala upande mmoja kwa muda upelekea upande kuchoka kwa misuli na mishipa ya damu na kufanya mzunguko wa damu kuwa mdogo upande huo so automatic utajikuta unajigeuza mwenyewe bila kujua na kurelease upande huo wa mwili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.