MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,252
- 8,003
Unataka upunguziwe gharama za vifaa vya ujenzi jimboni kwako? Anzisha kiwanda cha kutengeneza mabati, na msaada utapata 100%.
Hili jibu lilikutosha kabisa, sidhani kama utaomba msaada tena.Na mimi nakushuari ungana na wanakagera wenzako popote walipo nchini jengeni kiwanda ili mpate mabati ya kutosha. Wapo kina Rugememalila,Rweyemamu na wengine mtaweza tu.
Hili jibu lilikutosha kabisa, sidhani kama utaomba msaada tena.Na mimi nakushuari ungana na wanakagera wenzako popote walipo nchini jengeni kiwanda ili mpate mabati ya kutosha. Wapo kina Rugememalila,Rweyemamu na wengine mtaweza tu.