Kila kitu kiangaliwe mazingira wengine wana miaka13 umbo kubwa ataki kusoma na ameanza balaa kitaani, katokea MTU wa kumuoa na mwenyewe kakubali je? Apo vipi. Wengine umri uo bado watoto kabisa ata kuvunja bado .
Kila kitu kifanyike kikiwa tayari.
Mwisilamu anatakiwa ampe Uhuru mkiristo ambao autoaribu mambo yake ndani mfano ampe chakula ale ila asile mbele ya waliofunga mkiristo Naye ampe chakula mwisilamu wakati wa kufungua kusiwe na vineno kote uko.
Mleta Uzi anaogopa kufa
Kufa ni kufa mungu ndio mjuaji zaidi we fuata maelekezo yake yeye ndio mjuaji zaidi.
Pale ulipokuwa mdogo unaambiwa na mzazi wako nenda shule ulikuwa unaona mateso sasa ona shule ilivyokusaidia na wewe unaandika vizuri tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.