Recent content by Mr Mpemba

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kijana afanya utani wa kutaka kumuua Rais Magufuli, aambuliwa kifungo cha miaka 2 jela

    Wangapi wametishia kuua hadharan na hapajafungwa wala kukamatwa...!!!? Wangapi wameua wazi kabisa Kwa raia wasio na kosa na je wamekamatwa au kufungwa hata tu siku moja? Iweje Kwa mtu aliesema tena kijiweni "ANATANIA" hafu afungwe...!!?? Duuh
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kijana afanya utani wa kutaka kumuua Rais Magufuli, aambuliwa kifungo cha miaka 2 jela

    Yule alietishia kumuua Lissu yuko wap? Na Yule alomtishia NAPE yuko wap?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Tanzania yadaiwa kujitoa kwenye Mahakama ya Afrika. Amnesty International na UN walaani hatua hiyo. Serikali yatoa ufafanuzi

    Hujaona anahusikaje au hujasoma alivyokuwa anasema watu waache kupotosha Nchi haijajitoa...!!! Sasa nini hiki je pasipo hata kufikir analazim kukir eti sio kwel Kati ni sahih anaogopa watu wasihoji au?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Tanzania yadaiwa kujitoa kwenye Mahakama ya Afrika. Amnesty International na UN walaani hatua hiyo. Serikali yatoa ufafanuzi

    Zitaje tu hata chache kwa ukanda wetu wa Afrika mashariki...!!?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Askofu Nyaisonga avishangaa Vyama vya Upinzani kususia uchaguzi. Ahimiza waumini kujitokeza kupiga kura na kuchagua viongozi

    Unaushaid kwel wa kuthibisha Kuwa wapinzan hawataki kusikiliza Mawazo tofaut na udikteta wao Uko wap...!!? Eb Sema kat ya wapinzan na utawala nan hataki kusikiliza hoja za mwenzake...!!? Na kwann wasiskilizwe yanayowezkana kutatuliwa yatatuliwe kwa mjib wa sheria na katiba...!!!? Mfano 1)...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Askofu Nyaisonga avishangaa Vyama vya Upinzani kususia uchaguzi. Ahimiza waumini kujitokeza kupiga kura na kuchagua viongozi

    Mfanya kosa hataki kukubali kosa...!!! Hataki hata kusikiliza hoja za mlalamikaji Unazan kutakuwa na uelewano kwel..!!? Kama wanaona waliosusia uchaguzi wamekosea bas wasikilize hoja zao na malalamiko yao na achunguzwe kisha suruhu.... Sasa hawataki hata kuyasikiliza Unazan kipi...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Sirro: Lissu ameshindwa kutoa ushirikiano kuhusu tukio lake la kupigwa risasi... Jalada la Uchunguzi kuhusu kupotea kwa Azory limefunguliwa

    Sasa kama mtu Hayupo akatoa ushirikiano hamuwezi kuendelea na uchunguzi...!!! Ko Azory Gwanda ambaye Hayupo Nani atawapa taarfa....?? Na Kama ni wananchi je kwann taarfa zilizopo za namna ya kupata taarfa za Tundu Lissu msitumie hzo japo tu kupata hata wa kuhoji....!!! Mf. Nani alikuwa mlinzi...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Askofu Nyaisonga avishangaa Vyama vya Upinzani kususia uchaguzi. Ahimiza waumini kujitokeza kupiga kura na kuchagua viongozi

    Yaani wanajukwaa mie nalisema Hili Ila Kama lilikuwepo bas ndio Hvyo....!!! Tangu uhuru Mpk sasa Dini zote kubwa hapa Nchini zilichangamana si Uislam au Ukristo(Roma) zingatia haya....!!! Wakati wa Muungano Tanganyika na Zanzibar, Tanganyika iliongozwa na mtawala ambaye ni Mkristo(Roma) ambao...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Hivi KKKT na Askofu Mkuu mlipataje hamasa ya kutoa ule waraka uliojaa siasa na msipate hamasa kukemea ushoga?

    Jaman muunganiko huu wa Dini na serikali Huwez kuuondoa maana midomon hunena....!!! ''serikali haifungamani na Dini yoyote kila mtu anayohaki ya kusali popote" lakin Dini kubwa hapa nchin ndio kiini cha uongoz kweny Nchi ya Ahadi.... Ko Huwez kusikia tamko lolote kukosoa utawala maana wanajua...
  10. M

    JamiiForums Tanzania CCM MP has said that ATCL air hostesses are not attractive

    Kumbuken hata mtu akipenda ndege haangalii Uzur au urembo Ila huduma na ukalim anaoutoa mtu...!!! Pia waweza Kuwa mzur wa kuvutia kutoa huduma ukawa hovyo...!! Au kule ndan wanatakiwa wenye mvuto wawe wanatamaniha wanaume ili wajiuze...? Achen ubaguzi wa rangi au Sula we ni mwanamke km...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Naibu Spika Dkt. Tulia afunguka mazito kuhusu matibabu ya Lissu, asema hakuna double standard ktk matibabu ya wabunge

    kwel unahakika na ulivyoandika au umekosea kutype...!!! Ni wabunge wangapi wamesimama kulizungumzia Hili wanawaita wachochezi...? Ni watu wangapi wamehoji kuhusu Swala la Lissu wanaambiwa kuhatarisha Aman ya Nchi...? Amaa kwel lisilo lako Huwez kuliona Uzito wake....!!! Endelea tu kupumua...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Deni la Taifa lafika Tril. 52/-

    Yaan hayo wanayosema wamekopa Kwa akili ya kufanya shughur za maendeleo ya Nchi....!! 1)hayo maendeleo ni yap.? 2) je zile hela ambazo Mtukufu Rais wetu anasema niza wanyonge na zinafanya shughur za maendeleo zimefanya maendeleo yapi? na hiizo zilizokopwa zimefanya yapi?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Nini Maana ya Katiba ya Nchi na umuhimu wake?

    Ko Kwa kila afanyacho ni Kwa mujibu wa sheria na Katiba ya Nchi Hivyo chochote ukionacho huwezi fanya usijilaumu bali tafuta namna ya kurekebisha sehemu nawe utimize yapasayo na unayoona yanafaa ila kwa hivi bado sauti zitatoka Ila NEVER GAIN ANYTHING
Back
Top Bottom