Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,055
Msomi fulani ameuliza hili swali.. Kuna majibu nimfikishie?!
======
VIONGOZI WA KIROHO VIPI?
Hivi dhambi ipi itendwe zaidi ya hii ndio mkemee? Hii ni dhambi iliyosababisha Mungu wetu akaangamiza jamii. Iweje watumishi wake mkae kimya dhambi hii ikitendwa na kutetewa hadharani? Mnashindwa na serikali? Serikali inakemea na kupambana nayo nyie watumishi kimyaaa!!!!! Tuwe tunaenda kusali serikali ni tuachane nanyi?
Walau tumemsikia shehe mmoja binafsi akikemea na kuipongeza serikali. Mungu ambariki sana sana sana! Hakika hizi ni nyakati za majaribio.
Ni wacha mungu Wa kweli tu watasimamisha neno na utukufu Wa mungu.
Wanafiki watakaa kimya na waovu watafurahia na watatenda uovu.
BAKWATA, TEC na wenzenu hamuoni soni? Hivi kanisa lililoazimisha miaka 150 juzi pale Bagamoyo halikuona umuhimu wa kutoa tamko kali kukemea uovu huu?
BAKWATA waislamu tumeambiwa atakayemwingilia mwenza wake kinyume siku ya kiama Allah hatamtizama uso wake na hataiona pepo ya Allah! Vipi nyie muwe bubu kwa hili?
Hivi KKKT na Askofu Mkuu mlipataje hamasa ya kutoa ule waraka uliojaa siasa na msipate hamasa kukemea huu uovu? Kwenu nyie haki za kuandamana ni jambo zito kushinda huu uovu? Hebu toeni tamko basi!
Kwa yeyote anayedhani anamhimidi Mungu na akakaa kimya au akashabikia uovu huu basi ajue jehanamu inamhusu. Haiwezekani uovu mkubwa kiasi hiki utendwe katika ardhi na utangazwe hadharani halafu watu waendao misikitini na makanisani wakae kimya.
======
VIONGOZI WA KIROHO VIPI?
Hivi dhambi ipi itendwe zaidi ya hii ndio mkemee? Hii ni dhambi iliyosababisha Mungu wetu akaangamiza jamii. Iweje watumishi wake mkae kimya dhambi hii ikitendwa na kutetewa hadharani? Mnashindwa na serikali? Serikali inakemea na kupambana nayo nyie watumishi kimyaaa!!!!! Tuwe tunaenda kusali serikali ni tuachane nanyi?
Walau tumemsikia shehe mmoja binafsi akikemea na kuipongeza serikali. Mungu ambariki sana sana sana! Hakika hizi ni nyakati za majaribio.
Ni wacha mungu Wa kweli tu watasimamisha neno na utukufu Wa mungu.
Wanafiki watakaa kimya na waovu watafurahia na watatenda uovu.
BAKWATA, TEC na wenzenu hamuoni soni? Hivi kanisa lililoazimisha miaka 150 juzi pale Bagamoyo halikuona umuhimu wa kutoa tamko kali kukemea uovu huu?
BAKWATA waislamu tumeambiwa atakayemwingilia mwenza wake kinyume siku ya kiama Allah hatamtizama uso wake na hataiona pepo ya Allah! Vipi nyie muwe bubu kwa hili?
Hivi KKKT na Askofu Mkuu mlipataje hamasa ya kutoa ule waraka uliojaa siasa na msipate hamasa kukemea huu uovu? Kwenu nyie haki za kuandamana ni jambo zito kushinda huu uovu? Hebu toeni tamko basi!
Kwa yeyote anayedhani anamhimidi Mungu na akakaa kimya au akashabikia uovu huu basi ajue jehanamu inamhusu. Haiwezekani uovu mkubwa kiasi hiki utendwe katika ardhi na utangazwe hadharani halafu watu waendao misikitini na makanisani wakae kimya.