Habari members Nina shida na million 15 haraka Sana ndani ya wiki hii lakini Sina chochote Cha kuuza chenye thamani ya mil 15 Wala Sina asset ya kuweka dhamana nikakope bank au kwa mtu yoyote. Wala Sina ndugu au mtu wakumipa hiyo pesa nipeni mawazo nifanyeje ( legal or illegal) nipate hiyo pesa
Labda tungepata tafsiri ya malaika. Ila moja ya story yangu binafsi ilyoniacha na maswali mwaka 2020 nliota ndoto ambayo nilikua nusu nimelala nusu Niko macho nikiongeleshwa na mtu ambaye hakutaka nimuone sura yake" aliniambia "huyu si mtoto wetu' angalia nyusi angalia kucha angalia na lips"...
Wacha na mm nichangie kidogo hii kimaaihara ilikua mwakajana tu hapa nilihamia kikazi mkoa huu wanauita Geneva of Africa, nikiwa kijana mgeni nimefika tu kazini nakuta Kuna maandalizi ya harusi ya Staff mwenzetu kwahio na Mimi nikaingia moja kwa moja kwenye vikao vya kamati. Kamati zilizokuwepo...
Wacha na mm nichangie kidogo hii kimaaihara ilikua mwakajana tu hapa nilihamia kikazi mkoa huu wanauita Geneva of Africa, nikiwa kijana mgeni nimefika tu kazini nakuta Kuna maandalizi ya harusi ya Staff mwenzetu kwahio na Mimi nikaingia moja kwa moja kwenye vikao vya kamati. Kamati zilizokuwepo...
Basi tu uliangakia pabaya, wako watu decent kabisa unapokelewa kama mfalme, Tena ukifika anakwambia kwabisa sahv naweka simu silent ni muda wako baba, nikunyonye( ni wewe Sasa ndio au hapana) hakuna kufokewa unapigishwa story mbili tatu unakula vyako unapumzika unasepa. Ila akishakuwa rafkiako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.