Hakuna Binadamu aliyekamilika,ila pamoja na madhaifu yake anapaswa kupongezwa,alikuwa anajua ni nini anafanya kwa ajili ya taifa lake na wananchi wake.
Huyu jamaa namkubali sana.
Heshima kwenu wana Jf,
Kwa ufuatiliaji huu wa Serikali ya Mr Prezidaa naona idadi ya kupeleka watoto wao nje kusoma inapungua coz mianya inazibwa.
Tutaheshimiana tu.
Kawaida ya wageni wastaaribu wakifika mahali hasa kwa jamii ya watu tofautitofauti ni lazima wajitambulishe,jina langu kama mnavoliona.
Wadogo zangu,wajukuu zangu na msiokubali udogo naombeni ushirikiano wenu tafadhali.
Hodiii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.