Recent content by mr.kuda

  1. M

    Nyumba za kupanga jijini Dar, Jipu linalohitaji kutumbuliwa

    mkuu iyo kodi ikiwepo na vyumba na vyo vinapanda kikubwa ni kutafuta njia ambayo ni rafiki kwa kila upande kuondoa tatizo hili.
  2. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Jamaa angu yuko Musoma Mjini anaomba wa kubadilishana nae yeye arudi Dodoma ( dodoma mjini au Kongwa) Namba ake 0767975096
  3. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mi Niko Musoma Mjini natafuta mwalimu wa kubadilishana nae aje Musoma Mjini nije Dar 0717578389
  4. M

    VIDEO: UKAWA Wazuiliwa Kushiriki Cocktail Party; Ni Baada ya Kutimuliwa Bungeni

    kumbu serikali iliopo madarakani inapo peleka Huduma za kijamii kwenye majimbo ya vyama vya upinzani ni fadhila
  5. M

    UKAWA waeleza sababu za kuzomea Bungeni

    Maalim alisha sema kama halitenda kosa wakamshitaki na pili sheria haisemi kuwa ukijitangaza uchaguzi unafutwa.
  6. M

    Nafasi ya Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni ifutwe

    ndo umeona icho cheo chenyewe kinaongeza matumizi ya serikali tu? mshauri afute na wakuu wa wilaya na mikoa
  7. M

    CUF wanastahili kugombea majimbo mengi zaidi 2020

    Apo umenena ndugu uchaguzi wa mwaka huu ulitawaliwa na ukanda.
  8. M

    Msaada: Simu inaonyesha Memory full ingawa SD card bado mpya

    Mkuu kutokana na ulivyoo elezea tatizo la simu apo juu nahisi storage ya vitu kama music; whatsApps video +picture +Audio na vitu unavyo download storage yake itakua kwenye phone memory; kutokana na hali iyo phone memory imejaa; chakufanya badili storage setting uweke kwenye SD card.
  9. M

    Msaada: Simu inaonyesha Memory full ingawa SD card bado mpya

    Mkuu tutokana na ulivyoo elezea tatizo la simu apo juu nahisi storage ya vitu kama music; whatsApps video +picture +Audio na vitu unavyo download storage yake itakua kwenye phone memory; kutokana na hali iyo phone memory imejaa; chakufanya badili storage setting uweke kwenye SD card.
  10. M

    Vitambulisho vya taifa vya uraia vitatumika kupigia kura

    Katika kujaza fomu ya maombi ya vitambulisho vya uraia kulikua na kipengele kilicho kua kinasema; Je unataka kujiandikisha kupiga kupiga kura? Hicho kipengele kilitaka ukubali au ukatae. Swali langu ni kwamba kwa mtu aliye kubali hicho kipengele atatumia hicho kitambulisho kupiga kura? Na kama...
  11. M

    Rasmi: Majina ya Waliopangiwa kujiunga na Kidato cha Tano, Julai 2015

    wakuu mwenye selection za form five aingize humu ndani coz iyo link mliyo weka kwangu inasumbua kufunguka
  12. M

    Msaada wa kufika ofisi za NECTA

    shukrani jak kwa maelezo yako
  13. M

    Ni wakati wa kujitambua (Jua ulikotoka)

    Mkuu hongera kwa elimu uliyotoa
  14. M

    Msaada wa kufika ofisi za NECTA

    nashukuru Mkuu pembe; Mimi Niko Moro
Back
Top Bottom