Recent content by mr kipengele

  1. mr kipengele

    JamiiForums Tanzania Lodge chini ya 10000 tujuzane wapendwa....

    Mjini noma sana[emoji1][emoji1]umenikumbusha miaka saba iliyopita niliingia jiji moja hivi ,nikawa sijui lodge zinapatika wapi nikaona isiwe tabu ngoja niulize kwa msela mmoja hapo mtaani. Jamaa akasema kama unataka chumba nikupe geto langu nipe hela kadhaa ambayo tulikubaliana.
  2. mr kipengele

    JamiiForums Tanzania Najipendekeza au niachane nae

    Una miaka mingapi
  3. mr kipengele

    JamiiForums Tanzania Funguka akili kwa kuijua elimu ya ufundi stadi VETA

    Jamani naomba kujua kiundani hii elimu ya veta kwenye zile short courses za NVA NVA I inasoma kwa muda gan? NVA II inasomwa kwa muda gani? NVA III inasomwa kwa muda gani? Anaefahamu naomba unipe mkadima kidogo.
  4. mr kipengele

    JamiiForums Tanzania Kama utani nimenasa kwa Mama mtu mzima

    Chai imepoa hii , kwahiyo mama yako alikuzaa akiwa na miaka 11( 40-29)??
  5. mr kipengele

    JamiiForums Tanzania Wadada wengi hawajisafishi

    Katika comments zote ,wewe ndio umeongea ukweli kabisa huwenda huyo kijana nimgeni na nyapu.
  6. mr kipengele

    JamiiForums Tanzania Ndoa ya rafiki yangu imedumu miezi miwili tu! -kweli ndoa ni mtihani?

    Job true true ndio hii sasa
  7. mr kipengele

    JamiiForums Tanzania Usinilazimishe tafadhali

    Umeongea kitu cha msingi sana.
  8. mr kipengele

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri kuhusu mwanamke huyu

    Wew ni kiazi
  9. mr kipengele

    JamiiForums Tanzania Je, Hypersexualism ni jambo la kawaida kwa teenagers wa siku hizi?

    Acha kila mtu afanye kadri ya uwezo wake,ila mtoa andiko inabidi ukioa, uoe mwanamke bonge tipwa tipwa tukunyema. Tofauti na hivyo jiandae kulea watoto ambao sio wako[emoji1787][emoji1787]
  10. mr kipengele

    JamiiForums Tanzania Umewahi kuachana na mtu kisa kazidisha mapenzi?

    Chai ya baridi sana hii
  11. mr kipengele

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Wanangu mnawezaje kuzama chumvini aiseee
  12. mr kipengele

    JamiiForums Tanzania Ni aibu gani umewahi mfichia mpenzi wako?

    Muswaki unatumia wiki unatupa wakati huku mtaani wanatumia mwaka mzima
  13. mr kipengele

    JamiiForums Tanzania Je kuna ishara yoyote ambayo mwanaume anaweza kupata ikiwa mimba ni ya kwake?

    Katika wachangiaji wote sijapata jibu sahihi
  14. mr kipengele

    JamiiForums Tanzania Hofu ya Kuzeeka Wasichana Huolewa na Yeyote

    Sasa ataheshimika vipi kama analiwa na kila mtu mzee
  15. mr kipengele

    JamiiForums Tanzania Usidate na Hawa

    Ukiwa boya hapa duniani utapangiwa kila kitu ,wanangu kuleni vyupi hivyo sheria zimewekwa ili zivunjwe
Back
Top Bottom