Hofu ya Kuzeeka Wasichana Huolewa na Yeyote

asiye na bahati, habahatishi.
Wangapi waliolewa at their mid 20s, wakafika 30s ndoa chali.
Mi nna 29 saivi na wala sina pressure ya ndoa wala mtoto, niko tofauti kdogo na wanaoamini heshma ya mwanamke inakamilika kwa ndoa.nawaambiaga friends zangu hata nifike 35 kama hakuna anaeeleweka basi nitakaa mwenyewe milele na sio kukimbilia mkataba wa kulala na adui kitanda kimoja nisije mtoa roho usiku akiwa anaota bure.
 
Ulimwengu unawahangaisha sana wanawake mpaka wanasahau kusoma alama za nyakati.......

Stara pekeee ya mwanamke na heshima ya mwanamke kwenye jamii ni ndoa...... mwanamke anatakiwa kipindi kile ambacho anawaka usichana atafute na achague mtu sahihi wa kumuoa na sio kuutumia mwili wake kuendesha maisha.......
Wengi wanaanza kuitafuta Ndoa wakishafika umri wa chuma chakavu yaani kuanzia miaka 30 kuendelea.

Ila asikudanganye mtu, maisha ya nje ya ndoa si mazuri kabisa especially kwa mtoto wa kike. Attention ya wanaume huwa inapungua kwa kasi sana wakishafika 30 wanaume wanaanza kuwakwepa kama mfuko wa mbolea mbichi.

Na mwanamke attention ndio mafuta ya furaha yake. Akikosa attention anahisi kama hana sababu ya kuishi tena.
 
asiye na bahati, habahatishi.
Wangapi waliolewa at their mid 20s, wakafika 30s ndoa chali.
But Ndoa sio swala la bahati, kwasababu hata ukidefine neno bahati lenyewe utagundua kwamba BAHATI = Maandalizi+ Fursa.

Yaani huwezi sema mtu amebahatika kupata Ndoa imara wakati alikutana na mume wake katika umri mdogo, akiwa bikra, anampenda MUNGU na anaishi kwa misingi ya ibada, anajisitiri vema mwili wake, changamoto za mahusiano zikitokea hakimbii wala kuwa mkali bali anakaa kitako na mwanaume wake na kuelekezana kwa upendo, hana tamaa ya mali wala fedha, pale mwanaume anapokosa anamtia moyo na kumpa space anayohitaji kujipanga akatafute tena, hakai kando katika mipango ya mwanaume wake anashirikiana nae kutafuta Maisha kwa hekima.

Sasa unafananisha na ambaye kwanza picha linaanza bikra imetolewa na bodaboda akiwa na miaka 16, hana adabu, anatamaa, anataka mwanaume wa kumhudumia tu, yeye kila mwanaume twende mradi anampa mahitaji, ana flirt na kila anayeonyesha kumtamani, anajitoa ufahamu kuhusu dhambi za kike, MUNGU hamtambui, shetani ndio source ya fikra zake, ashachomoa sana mimba za makusudi, ameshalala na wanaume hadi wanaojuana.

Huyu wapili akipata hiyo Ndoa itadumu hata miaka miwili, hata akijitahidi kubehave kama mke wa mtu unadhani atatoboa maana siri zake si zitafahamika.
 
.......kweli kabisa ktk umri mdogo wanakuwa na advantage ya kumfanyia screening kila mwanaume anaejitokeza, Sasa wao huwa wanageuza kuwa kipindi cha kukusanya fedha na kuleta pozi Kwa wanaume, tena huwaletea pozi hata wale walio serious, ukizungumzia ndoa tu, hapo ndo anakuona we hamnazo kabisa ie old fashion.........
Utasikia "Aku me sitaki kuolewa hadi nitimize ndoto zangu " ndoto zenyewe sasa, kumiliki Private Jet, kuwa na Bilionea kabla ya miaka 30,kuwa CEO wa kampuni kadhaa zinazotengeneza mabilioni ya pesa, kuwa na magari ya bei kumi, kuwa na majumba ya kifahari.

Mtazame sasa huyo msukule anaewazia hizi ndoto. Huwa natikisa tu kichwa navionea huruma nasema ngojeni tu ifike hiyo 30 mtaamka kutoka huo usingizi wa ndoto za mchana kwa nguvu na ndio mtajua hamjui hata kidogo.
 
Mbona Mimi nimefika huo umri na sijapata hayo mawazo sijui ya kuolewa na yoyote au kuzaa tu ili mradi, Kila mtu na mindset yake pia kibongo ukifata mawazo ya wajinga walio wengi Kwa jamii ndio hyo kuzaa tu na yoyote kuoa au kuolewa na yoyote ili ufaraishe jamii.
So be you
So wewe hautaolewa mpenzi?
 
Mi nna 29 saivi na wala sina pressure ya ndoa wala mtoto, niko tofauti kdogo na wanaoamini heshma ya mwanamke inakamilika kwa ndoa.nawaambiaga friends zangu hata nifike 35 kama hakuna anaeeleweka basi nitakaa mwenyewe milele na sio kukimbilia mkataba wa kulala na adui kitanda kimoja nisije mtoa roho usiku akiwa anaota bure.
Kitu kibaya kwenye Maisha ni kuambiwa tatizo wewe ukajiandaa kubisha kuwa hilo tatizo linalosemwa wewe kwako sio tatizo ila ukasahau watu wale wale wanaosema tatizo hilo lipo na wewe ni miongoni mwao so na wewe linakuhusu ila unajaribu kukataa kuwa halipo yaani unaishi in denial.

Mbaya sana hii kitu aiseee. 29 unajua ni mke wa mtu tena wa watoto hata 3 au 4. Na muda huo ndio muda wa kukomaa kujenga familia yaani malezi ya watoto na uchumi wa familia nguvu zinaelekezwa huko.

Sasa wewe ukiwa umri wa 29 halafu upretend like that doesn't mean anything, then my dear u are not serious at all with this thing called life.
 
Utasikia "Aku me sitaki kuolewa hadi nitimize ndoto zangu " ndoto zenyewe sasa, kumiliki Private Jet, kuwa na Bilionea kabla ya miaka 30,kuwa CEO wa kampuni kadhaa zinazotengeneza mabilioni ya pesa, kuwa na magari ya bei kumi, kuwa na majumba ya kifahari.

Mtazame sasa huyo msukule anaewazia hizi ndoto. Huwa natikisa tu kichwa navionea huruma nasema ngojeni tu ifike hiyo 30 mtaamka kutoka huo usingizi wa ndoto za mchana kwa nguvu na ndio mtajua hamjui hata kidogo.
.......Mungu awasaidie hawa dada zetu, sometimes wanajisahaulisha kuwa wao kitu cha thamani na heshima na ambacho ni rahisi kidogo kupatikana ni ndoa, hizo ndoto nyingine ni ngumu kuzitimiza, hata sisi wanaume tunaweza pambana na tukufeli vilevile kutimiza.......
 
Kitu kibaya kwenye Maisha ni kuambiwa tatizo wewe ukajiandaa kubisha kuwa hilo tatizo linalosemwa wewe kwako sio tatizo ila ukasahau watu wale wale wanaosema tatizo hilo lipo na wewe ni miongoni mwao so na wewe linakuhusu ila unajaribu kukataa kuwa halipo yaani unaishi in denial.

Mbaya sana hii kitu aiseee. 29 unajua ni mke wa mtu tena wa watoto hata 3 au 4. Na muda huo ndio muda wa kukomaa kujenga familia yaani malezi ya watoto na uchumi wa familia nguvu zinaelekezwa huko.

Sasa wewe ukiwa umri wa 29 halafu upretend like that doesn't mean anything, then my dear u are not serious at all with this thing called life.
Kuna kitu hujajua nilipogundua siwez kufanya muujiza au kumtaka mtu anioe nilisema na moyo wangu nikakubali matokeo nikaiambia nafsi yangu Furaha ni bora kuliko ndoa.no
...
Wapo wanaoshauri nizae tuu ila mi nilishasemaga na moyo wangu kwamba kuzaa na kuolewa sio basic need so nimetulia tuu.
Siwez kimbizana na umri hata siku moja.
Ila bado naamini siku moja nitapata ninaemtaka..sio bora liende kisa mtu ana maisha ndo anioe kumbe kitunguu.
Bado navuta heri.
 
Sema wanawake Wenyewe huwa hawajui Kama shelvelife yao Ni ndogo Sana kuliko ya wanaume, maybe siku wakija gundua Hilo ndio wataacha kuwa too selective
 
Ulimwengu unawahangaisha sana wanawake mpaka wanasahau kusoma alama za nyakati.......

Stara pekeee ya mwanamke na heshima ya mwanamke kwenye jamii ni ndoa...... mwanamke anatakiwa kipindi kile ambacho anawaka usichana atafute na achague mtu sahihi wa kumuoa na sio kuutumia mwili wake kuendesha maisha.......
fact
 
Mbona Mimi nimefika huo umri na sijapata hayo mawazo sijui ya kuolewa na yoyote au kuzaa tu ili mradi, Kila mtu na mindset yake pia kibongo ukifata mawazo ya wajinga walio wengi Kwa jamii ndio hyo kuzaa tu na yoyote kuoa au kuolewa na yoyote ili ufaraishe jamii.
So be you
kila mtu na maamuzi yK
 
Back
Top Bottom