Hii nchi imepunguza wajinga lakini bado tuna tatizo la upumbavu..... Kiingereza ndio kitu gani.....! Tunahitaji mtu atakayeweza kutuongoza sio anayezungumza kiinglishi
Aliyebomoa ana akili nyingi sana na nitampandisha kuwa VC, leo ukijenga msikiti,kesho Romani nao watataka kuweka ekalu lao,Lutherani Anglican,waliookoka sijui wana makanisa mangapi ,Gwajima na wafuasi wake,madhehebu chungu .....kama mlishindwa kusali kwenu msitafute mtu wa kuwatatulia matatizo...
Wadau wetu wa hali ya hewa kwa hivi sasa Utabiri wetu wa hali ya hewa wa kila siku pia utakuwa unapatikana kwenye magazeti ya Daily News na Habari Leo. Fuatilia
Kughushi nyaraka ya serikali ni kosa la jinai.......na kanuni za utumishi zipo wazi kwenye hili,tusikubali kutetea upuuzi kwa maslahi yetu binafsi kila siku tunapiga kelele kuhusu D.A.B leo tumeguswa sisi tumekuwa wachungu....hapa ulitakiwa kuandika walichofanyiwa watumishi wa umma kifanyike na...
ukiona kitu kimehairishwa mara tatu,tafakari kuna nini nyuma yake.......tuache ushabiki wa mkumbo........UKAWA kuna tatizo......Profesa anataka kwenda magogoni na Dr pia anataka.
:fencing:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.