Recent content by Mr. Kims

  1. Mr. Kims

    Mjue Chuma Ulete wa Biashara yako

    Mimi nimetoa mtazamo na kile nnachokijua kuhusu biashara. kama na ww wajua zaidi ya hapo nipe elimu hasa kuhusu huyo mzee Sadick.
  2. Mr. Kims

    Mjue Chuma Ulete wa Biashara yako

    Acha kutoa majibu Rahisi kwa swali gumuuuu, Nakushauri Acha uvivu wa kusoma. soma mpaka mwisho utaelewa.
  3. Mr. Kims

    Mjue Chuma Ulete wa Biashara yako

    Moja ya changamoto ambazo zinasumbua biashara ndogo ni imani ambazo wafanyabiashara wanazo. Kuna dhana moja ipo kwenye mitaa yetu kwamba kuna watu ambao ni chuma ulete. Watu hawa wanapokuja kwenye biashara yako na kununua kitu, ukiwarudishia chenchi basi baadaye wanahamisha fedha zote kwenye...
  4. Mr. Kims

    Hivi ni kweli walimu 11000 sekondari kushushwa primary?

    Mimi nakushauri usihandaike kujipendekeza sasa sana omba Mungu upelekwe Primary coz kuwepo msingi. utapata fursa nyingi sana kubwa ni muda wa ziada kufanya mambo yako
  5. Mr. Kims

    Ni jambo zuri kuwa mkweli katika mahusiano au ndoa lakini kuna muda Uongo uhitajika ili kuimarisha mahusiano

    Ipo mitizamo mingi kuhusu Uongo katika Mahusiano Ni jambo zuri kuwa mkweli katika mahusiano ya kimapenzi au ndoa lakini kuna muda UONGO unahitajika ili kuimarisha mahusiano. Siyo kija jambo unapaswa kumweleza mwenzako ukweli changanya hapo na uongo kidogo. Kwa Mfano 1. Umetongozwa na best wa...
  6. Mr. Kims

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Kufanya au kupiga punyeto, ni tendo la kutomasa sehemu zako mwenyewe za siri ili kujisisimua kimapenzi. Kwa hivyo katika kupiga punyeto hamna hofu ya kuambukizwa magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono, kwani haimshirikishi mtu mwengine. Punyeto ni toshelezo kamili la kimapenzi kama utatumia...
  7. Mr. Kims

    Ni sahihi kuwaadhibu wakuu wa shule 10 za mwisho?

    Siku si nyingi tumeshuhudia baadhi ya wakuu wa shule 10 za Mwisho kupewa adhabu ikiwemo ya kuondolewa katika nafasi za kuwa wakuu wa shule. Swali langu ni Je, kitendo hicho ni sahihi? Je, tofauti ya shule kumi za mwisho ni ipi ikilinganishwa na shule 200 za mwisho??
  8. Mr. Kims

    Kushughulikia Wakuu wa shule 10 za Mwisho ni halali au kuwaonea??

    Siku si nyingi tumeshuhudia baadhi ya wakuu wa shule 10 za Mwisho kupewa adhabu ikiwemo ya kuondolewa katika nafasi za kuwa wakuu wa shule. Swali langu ni Je, kitendo hicho ni sahihi? Je, tofauti ya shule kumi za mwisho ni ipi ikilinganishwa na shule 200 za mwisho??.
  9. Mr. Kims

    Mabilioni yametengwa kumsafisha Lowassa ili aingie Ikulu

    #NAWAHURUMIAAA . nimeumia lkn naamini kuna watu wameumia zaidi. #KUBENEA utaandika nini kakaangu mana uliandikaga lowasa ainunua act kwa mil 200,uliandikaga ZITTO anatumiwa na fisadi lowasa.je Leo utaweza kuandika aliofika nao bei na utatueleza ni kiasi gani?..uliandika makala kibao...
  10. Mr. Kims

    Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

    Huwezi kuziongelea siasa za Tanzania bila kulitaja Jina la Freeman Mbowe. Mbowe ni kati ya wanasiasa ambao wanaishi katika misingi ya siasa za kibiashara. He is businessman turned politician and he's not shy away from controversy. He thrives on political controversy and challenge. Mbowe...
Back
Top Bottom