Recent content by Mr kigozi

  1. M

    Samsung grand prime plus price 220000

    Kula 170 kama uko tayari njoo pm
  2. M

    Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

    KADATA KAKWESELA KISULA KIDULA KADATA Kwa kifupi anaitwa KADATA K K K KADATA
  3. M

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Mkuu hii kitu bado ipo ?
  4. M

    Nahitaji mtu anayeuza smartphone

    Hii ina gb ngapi ?
  5. M

    Tujikumbushe wakuu wa mkoa wa Dar na utendaji wao

    Hahahaha ushahidi wa kwamba alikuwa meya ?
  6. M

    Tujikumbushe wakuu wa mkoa wa Dar na utendaji wao

    Ramadhani nyamka alikuwa meya wa jiji,
  7. M

    Tujikumbushe wakuu wa mkoa wa Dar na utendaji wao

    Daah. Mkuu Umenikumbusha mama mary chipungahelo au mary chips alikuwa matata sana,
  8. M

    Sisi wanaume siyo watu wa mchezomchezo kabisa!!

    Mbona nyuma amekibinua namna hiyo ?
  9. M

    Simu mlioniuzia Airtel bravo11 mkiipromo ni original, inakula kwangu

    Mimi ni mmoja wa waathirika wa Bado z 11 nimenunua hizo simu mbili kwa ajili ya familia yangu lakini moja network inakuja na kupotea ila nyengine imeweka x kabisaa tokea nimenunua hali leo hii,
  10. M

    TANZIA: William Malecela afiwa na mama yake mzazi

    Tuombee Mungu ampe subira le mutuz katika kipindi hiki kigumu
  11. M

    TANZIA: William Malecela afiwa na mama yake mzazi

    Kama kweli mama yake le mutuz ndiyo ameishi maisha dhiki hivyo ni jambo la kusikitisha sana lakini tuna kitu cha kujifunza kuhusu kuwajali wazazi wetu ambao Walipata tabu nyingi sana kwa ajili yetu,,
  12. M

    TANZIA: William Malecela afiwa na mama yake mzazi

    Inna lillahi wainnaa ilayhi rajiu,un
  13. M

    Tuwe makini na wauza Dawa za Asili

    Hili tatizo la waganga wa kienyeji ni kubwa sana na lina madhara makubwa kuliko unavyofikiria jana tumemzika mama mmoja hivi ambe aligundulika kuwa ana kansa ya kizazi lakini alidanganywa na mganga mmoja kutoka kigoma kuwa atampa dawa dawa na atapona ampe laki tano na shart la dawa zake ni kuwa...
Back
Top Bottom