Pole sana my young brother ila hakika hutakiwi kujutia upuuzi uliofanya moves on, subiri nikwambie kitu wewe hapo ulipo unadegree kasoro cheti(makaratas) sabab ushafanya had final elimu IPO kichwani tayar sio hayo makaratas unayojilizaliza na kujutia relax hayana mpango wowote incase...
Tumechat fresh mwisho katokomea nilitaka niweke kwenye kibanda cha mpesa nichukue earphones za kutosha maana aliniambia bei nzur kweli uzuri nilitaka nione picha halafu nichukue kwake kwa bei ya jumla so angepata maslahi pia ila sikumuelewa kakausha na aliniambia akirudi maskani jioni nikamtext...
Mbeya unaweza kufanya biashara ya Mchele Wa kyela peleka mikoani,biashara ya nguo chukua Kariakoo, electronics an phone accessories,nenda chunya migodini kaangalie fursa, iringa biashara ya mbao ingia porini
Sikuhizi tukidundwa nacheka sana hv nashindwa kuelewa tumerogwa ama yaan ukuta wetu ni takataka dah halafu nashindwa kumuelewa griezman anachezaga nini why tusimuuze hata wolves yaani tunamuacha Suarez tunambakiza braithware dah tunapitia wakati mgumu sana karaha ilioje
Biashara sio rahisi kabisa kaa nae chini umsikilize mwanzo mgumu ndugu watu wanafilisika mamilioni sembuse kamilioni ili biashara uijue nje ndani utapitia ups and down nyingi so mvumilie msikilize kilichomsibu kuna maswala ya hasara then ufanye maamuzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.