Ukweli no aibu kuwa na miaka 50 usiwe na kitu, alafu vazi la suti ni heshima ya mwanaume
IPM nimsema kweli, nawewe humjui ndo maana unaleta hoja ya kiboya
Mkuu Mshana Jr naomba kujua kuhusu mambo ya kiroho yanayotokana na nishati ya asili, Nilikua na Biashara mbili zilikjya zinaniingizia pesa lakini hakuna kitu cha Maana unafanya kazi nikufanya biashara ila nilishindwa kununua ata kiwanja japo biashara inanipa faida,Mimi nilikua nafanya biashara X...
Nilinunua GSM nilijuta miezi 10 tu lishaweka shimo katikati..
Nasubiri mawazo yenu wadau, kuna muuza magodoro ana nishaur Arusha delux ni zuri kuliko hata QFL na Vitafoam
Kabla sijalichukua ni badilishe
ACCORDING TO CHAT GPT AI
Swali lako ni zuri sana. Kwa sasa (mpaka Julai 2025), hakuna chanjo rasmi ya UKIMWI (VVU) iliyothibitishwa kwa matumizi ya watu wote duniani. Hata hivyo, kuna tafiti nyingi zinazofanyika na hatua kubwa zimepigwa katika kuelekea kupata chanjo ya VVU.
Hali halisi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.