Recent content by Mr IQ

  1. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania Walimu waliweka tiki Oktoba 29, wamepigwa pini madaraja wanatoa milio

    Ulichosema kina ukweli na kinaumiza.. ila hatuna namna ndugu
  2. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania Kama una 40yrs+ na unaishi nyumba ya kupanga na uko na family, jitazame upya

    Ushawa invest 10M+ af mambo yakagoma
  3. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania Kama una 40yrs+ na unaishi nyumba ya kupanga na uko na family, jitazame upya

    Ndio, nipe hoja ya kunijenga mkuu.
  4. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania Kama una 40yrs+ na unaishi nyumba ya kupanga na uko na family, jitazame upya

    😃😃 acha utoto
  5. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania Kama una 40yrs+ na unaishi nyumba ya kupanga na uko na family, jitazame upya

    Ambao hatujafika 40's tufanye nini?
  6. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania Kipi bora kununua nyumba au kujenga mwenyewe?

    Utanunua nyumba ya miti na fito.. na nondo za mirunda..
  7. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania 🏗️ Wachimbaji Visima vya Kisasa — Wataalamu wa Kuaminika!

    Mfumo wake unakuaje?? Niule wa mota ya kupandisha maji au? Na Hiyo gharama ni kuchimba au kuna pesa inapngezeka hapo?
  8. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania UZI MAALUMU: Kwa ajili ya ku-share Vitabu vya kilimo na ufugaji

    Asante sanaa mkuu.. kwa vitabu
  9. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania Maisha yangu baada ya miaka 37!

    Mimi napikea 250K kwa mwezi.. af 1.3 M unasema ndogo..
  10. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania Disappointment Pain Hits Different Unakabiliana nayo Vipi?

    Kufungwa na simba ni maumivu yasiyo vumilika
  11. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania Kuna ushauri ninauomba kutoka kwa baadhi ya watu wenye busara

    Wew unalengo la kupiga show au kumuoa, alafu kama unataka ushauri kwa mambo ya kishamba uache.. focus na hela Pia ukiona mwanamke anakwepa anasababu zake, muulize sababu ni ipi.. akwambie kama anangoma je? 😀
  12. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania Pikipiki za Umeme Tanzania: Okoa hadi TSh 450,000 ya Mafuta kwa Mwezi kwenye Delivery

    Nimekuelewa vema, hii elimu wengi hawana. Watubwengu wananunua kwa sababu ya uzuri wa muonekano na kuepuka gharama za mafuta, alafu badae anashindwa ata kupakia kiroba cha mchele kupeleka nyumbani. 😀
  13. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania Pikipiki za Umeme Tanzania: Okoa hadi TSh 450,000 ya Mafuta kwa Mwezi kwenye Delivery

    Wakuu.. saiv pikipik za umeme zimekua nyingi mtaani, ila kama ni mtu wa kubeba mizigo mizito, safari za mizunguko mingi n.k pikipiki za umeme sio chaguo bora.. Nunueni af mnipe mrejesho mwakani, labda ntashawishika.
  14. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi wa Hotuba ya Bajeti ya Waziri Mkuu 2026/2027: Tusome katikati ya mistari

    Bunge halina uwezo wa kuchambua bajeti kiundani
  15. Mr IQ

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilimuonya mke wangu kuhusu kuchepuka hakunisikia. Nimefanya hii comeback sasa hivi analia tu, Pasaka chungu kwake

    Gen z hawana comeback ya kuua mtu, niwajinga tu
Back
Top Bottom