Recent content by Mr IQ

  1. Mr IQ

    Machache ya kuzingatia - Maalumu kwa tamaduni za kitanzania

    Asante mkuu, nipo kusoma kwenye Tiba ya chumvi, nikipata jambo sijaelewa nitakuuliza mkuu 🙏
  2. Mr IQ

    Kichoitwa kikao cha wanaume chini ya nabii feki IPM kinashusha hadhi ya mwanaume

    Ukweli no aibu kuwa na miaka 50 usiwe na kitu, alafu vazi la suti ni heshima ya mwanaume IPM nimsema kweli, nawewe humjui ndo maana unaleta hoja ya kiboya
  3. Mr IQ

    Machache ya kuzingatia - Maalumu kwa tamaduni za kitanzania

    Mkuu Mshana Jr naomba kujua kuhusu mambo ya kiroho yanayotokana na nishati ya asili, Nilikua na Biashara mbili zilikjya zinaniingizia pesa lakini hakuna kitu cha Maana unafanya kazi nikufanya biashara ila nilishindwa kununua ata kiwanja japo biashara inanipa faida,Mimi nilikua nafanya biashara X...
  4. Mr IQ

    Mazoea yanaleta dharau

    Ndo unalijua leo mkuu
  5. Mr IQ

    Pole sana Tanganyika

    Tunapigwa sanaa watanganyika, kodi kubwa, umeme ngarama kubwa, n.k na badoo
  6. Mr IQ

    Godoro safi la kulalia

    Sawa density ya 24 huwa yanabonyea mkuu??
  7. Mr IQ

    Godoro safi la kulalia

    Unaposema dodoma yapo mengi sanaa mkuu
  8. Mr IQ

    Godoro safi la kulalia

    Nikinunua lenye density ya 24, nch 8, vp litaishi
  9. Mr IQ

    Godoro safi la kulalia

    Nilinunua GSM nilijuta miezi 10 tu lishaweka shimo katikati.. Nasubiri mawazo yenu wadau, kuna muuza magodoro ana nishaur Arusha delux ni zuri kuliko hata QFL na Vitafoam Kabla sijalichukua ni badilishe
  10. Mr IQ

    Kanisa kuzidiwa na Uchawi (Giza)

    Tusifike mbali Bro, maisha yako yapo mikononi mwako, amua unavyotaka, But huwez kuishi bila watu(system)
  11. Mr IQ

    Safari ya Akili Huru: Tafakuri ya Maisha, Fikra na Uhuru wa Ndani

    interesting.. ila ingia deep kidogo kuhusu uhalisia wa maisha, yaani kupitia hatua hizi tatu Kuzaliwa>Kuishi>Kufa
  12. Mr IQ

    Kanisa kuzidiwa na Uchawi (Giza)

    Ume eleza vizuri, ila mwishoni matope kabisa.. swala lakutoingia kanisa lolote? Nadhani bado ujafahamu kuhusu spiritual life.
  13. Mr IQ

    Tanzania kupokea Chanjo ya Ukimwi Mwakani 2026

    ACCORDING TO CHAT GPT AI Swali lako ni zuri sana. Kwa sasa (mpaka Julai 2025), hakuna chanjo rasmi ya UKIMWI (VVU) iliyothibitishwa kwa matumizi ya watu wote duniani. Hata hivyo, kuna tafiti nyingi zinazofanyika na hatua kubwa zimepigwa katika kuelekea kupata chanjo ya VVU. Hali halisi ya...
Back
Top Bottom