Recent content by Mr IQ

  1. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania Usisbiri ajira tu, anza biashara ya vifaa vya baiskeli

    Huku ninakoishi sioni hata baiskeli mkuu..
  2. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania My diary: Mdogo Mdogo hadi 31st December 2034 - Uwekezaji na mtindo wa maisha

    Nimejifnza kitu hapa.. hii speech nita present mahali fulani siku X
  3. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania What kind of relationship is this🥹

    Wewe unataka nini?
  4. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania Namsimulia Rafiki yangu wa Kijani (Part TWO)

    Tumjue rafiki wa kijani mkuu
  5. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania Ni kosa gani la kifedha ulilofanya ukiwa na miaka 18–25 ambalo bado unalijutia hadi leo?

    Uliwekeza kwenye nini mkuu? Tupe experience
  6. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania Ni kosa gani la kifedha ulilofanya ukiwa na miaka 18–25 ambalo bado unalijutia hadi leo?

    Umejihusisha kwenye kufuga nini mkuu?
  7. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania Nawapa heshima zote mnaojitafutia vipato kwenye biashara. Kumejaa ushindani, kukomoana, kuchezewa rafu, n.k. sio rahisi hata kidogo

    Ni namna gani unatumia novena na chumvi ya mawe? Naomba kujuzwa hapo
  8. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania Mapenzi ni majira, yanaweza kubadilika muda wowote

    Tuambie yaliyo kusibu
  9. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania Walimu waliweka tiki Oktoba 29, wamepigwa pini madaraja wanatoa milio

    Ulichosema kina ukweli na kinaumiza.. ila hatuna namna ndugu
  10. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania Kama una 40yrs+ na unaishi nyumba ya kupanga na uko na family, jitazame upya

    Ushawa invest 10M+ af mambo yakagoma
  11. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania Kama una 40yrs+ na unaishi nyumba ya kupanga na uko na family, jitazame upya

    Ndio, nipe hoja ya kunijenga mkuu.
  12. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania Kama una 40yrs+ na unaishi nyumba ya kupanga na uko na family, jitazame upya

    😃😃 acha utoto
  13. Mr IQ

    JamiiForums Tanzania Kama una 40yrs+ na unaishi nyumba ya kupanga na uko na family, jitazame upya

    Ambao hatujafika 40's tufanye nini?
Back
Top Bottom