Wew unalengo la kupiga show au kumuoa, alafu kama unataka ushauri kwa mambo ya kishamba uache.. focus na hela
Pia ukiona mwanamke anakwepa anasababu zake, muulize sababu ni ipi.. akwambie kama anangoma je? 😀
Nimekuelewa vema, hii elimu wengi hawana. Watubwengu wananunua kwa sababu ya uzuri wa muonekano na kuepuka gharama za mafuta, alafu badae anashindwa ata kupakia kiroba cha mchele kupeleka nyumbani. 😀
Wakuu.. saiv pikipik za umeme zimekua nyingi mtaani, ila kama ni mtu wa kubeba mizigo mizito, safari za mizunguko mingi n.k pikipiki za umeme sio chaguo bora..
Nunueni af mnipe mrejesho mwakani, labda ntashawishika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.