Recent content by Mr II

  1. M

    Nchi imemshinda ndio maana anajutia Urais

    Nabii huheshimika isipokuwa nyumbani mwake. Je usemi huu unatuhusu hapa Tz?,kuna Nchi kadhaa walisema wanatamani Wapewe JPM hata kwa mwezi mmoja tu.
  2. M

    Rais Magufuli amuagiza Dr. Kimei kuwachukulia hatua maafisa wa CRDB waliofungua akaunti ya maafa

    Rais Yupo sahihi kabisa MM nilisha fanya kazi hiyo Bank. Mabank ya sasa yana madudu mengi mno.Inawezekanje mtu mkufungua account bila vigezo vyote kama mhutasari? kama ulikuwepo nani alisaini? siku zilizo pita tulisha ona bank hiyo hiyo wafanyakazi hewa wamefungua account, wafanyakazi hewa...
  3. M

    Natafuta mafundi wa mashine za Hospital

    Natafuta Mafundi wa kutengeneza mashinde mbalimbali za hospital kama x-ray, ultrasound, CT scanners, MRI. Piga 0756514644/0715514 644
  4. M

    Ni wakati wa Rais Magufuli kumpigia magoti Kikwete na Membe

    Nadhani aliyeanzisha maada hii hata hajui siasa za Tanzania,kimataifa na ujinga wa hao mnaowaita wafadhili. Matatizo ya ZNZ unayoyaona yametokana na ubabe MCC inayojiita chama twawala,chama ambacho mwenyekiti wake ni JK. Kwa maana nyingine matizo ya ZNZ ingineer wake ni JK. sasa swali JPM...
  5. M

    Haka katabia ka dada zetu sijakapenda, 'nipe ujauzito nitalea mwenyewe'

    Da mbona mimi sijapata mdada anayetaka hivyo. aniambie tu mimi ntampa alee mwenyewe.si tumepewa kazi ya kuzaa na kuijaza dunia!! anitafute tu.
  6. M

    Hisa za CRDB kushuka!!

    . Usije ukaingia kwenye biashara na uwekezaji na mawazo kuwa kuna faida tu. jua pia kuwa hasara ni sehemu ya biashara na ukweli investing is risky. lakini pia kuna mtaalamu mmoja aliandika kuwa what is risk in investing is not the investment but the investor him/her self. akimanisha kitu...
  7. M

    Data analysis and Monitoring and Evaluation:short course

    The Tanzania Global learning Agency (TGLA) will once again conduct ad short course for Data Analysis,Monitoring and Evaluation course in Arusha for 5 days from 14th to 19th March 2016. The course will cover basic topics in data analysis using Advanced excel and SPSS programs. The course will...
  8. M

    Msaada: Mwanangu anasumbuliwa na majipu

    Pole sana. Ana umri gani huyo mtoto. jaribu hospitali zingine na utapata jibu. vifaa na ujuzi unatofautiana. kuna jamaa alikuwa na tatizo hilo pia. kama utashindwa huko nitafute nitakuunganisha nae akupe maelezo alichofanya kwa maelezo mtafute 0689417472
  9. M

    Rais Magufuli amsimamisha kazi Kamishna wa Uhamiaji...

    Huyu raisi yupo makini sana. Kadili ya labour law huwezi mwachisha mtu bila ushahidi wa makosa aliyofanya. Kwa vile cheo ni dhamana anakuondoa kwenye cheo ili upishe uchunguzi. kama unavyojua ukiondoka siri zako na madudu yako yatajulikana yote na ushaidi wa kukuondoa na kukushtaki utapatikana...
  10. M

    Biashara zinazotumia mfumo wa "Network Marketing" na Ulaghai uliofichwa ndani yake

    Pole Nashauri kuwa tujenge tabia ya kufanya utafiti kabla ya kufanya chochote na hata kabla ya kuandika chochote. Ingia kwenye mitandao, soma vitabu na vyanzo vingi vya habari kisha endelea. Nasema hivi kwa vile nimeona kasoro nyingi za watu wanaoandika hapa.
  11. M

    Jinsi ya kuondoa madoa na mabaka mwilini

    Pole sana. Endelea usikate tamaa. kama utakwenda hospital ukimwona specialist wa ngozi na dawa hazitakusaidi nitafute nikupe ushauri mwingine ujaribu njia nyingine. Lakini kwa sasa nashauri usitumie tena hizo chemicals kwa pengine hazikupendi. Pole sana. Endelea usikate tamaa. kama utakwenda...
  12. M

    Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

    Pole sana dada. Operation siyo kitu kizuri sana ingawa itatatua taizo kwa muda na ni hatari sana. hayaa madaktari wetu huwa wakati mwingine huwa hawatuambii ukweli sana. lakini nilitaka kujua kama ulisha tumia njia mbadala na ikashindikana. kitu kingine ambacho madaktari huwa hawatuambii ni kuwa...
  13. M

    Data analyssis, monitoring and evaluation course

    Asante Tutawajuza. Lakini kama kuna wengi watapenda hapa Dar Wanaweza kuwasiliana na Tanzania Global Learning agency (TAGLA) kwa namba 0786000020. Pia kama wengi watapenda tutaweza kuandaa hapa Dar Pia. Karibu
  14. M

    Data analyssis, monitoring and evaluation course

    Taasisi ya Tanzania Global Learning agency (TAGLA) wataendesha course ya data analysis, Monitoring and Evaluation (M&E) huko Arusha, Tanzania kuanzia tarehe 23-28,November 2015. Katika kozi hii utajifunza namna ya kuandaa takwimu,kutathmini kwa kutumia program ya excel na SPSS na utapewa program...
Back
Top Bottom