Aliyesmhauri alikuwa muuaji kabisa! Glass nzima ya vinegar!!! Na hapo ndo umuhimu wa kusikiliza wataalam unapokuja. Hawa makanjanja mtaani ni tatizo sana.
Mmmhhh!! I thought sex was one of the body's biological needs! Anyways, a lot of things are now changing or being questioned. All the best in satisfying yourself
Mtu umejaa uzandiki na chuki dhidi ya watanzania wenzako lkn bado unataja Yesu! Una akili timamu kweli? Bwana Yesu ndo anafundisha hizi husda, chuki, uzandiki nk unaounyesha hapa? Yafaa nini kujinasibisha na Jina la Yesu ikiwa huyaishi matendo na mafundisho yake!?
"Ya Kaisari mwachie Kaisari na ya Mungu mwachie Mungu..."
Dhambi ni dhamira na ndiyo maana kuna mdau katumia ule mstari unaosema kimwingiacho mtu hakimtii najisi bali kimtokacho.
Je, dhimira yako ni ipi hapo kiwandani, kunywa pombe? Je, dunia hii iliyochanganyika na uovu unaweza vipi kwa...
Kuna wakati mtu unatafakari unashindwa kuelewa kama upinzani wetu ni sifuri kiasi hiki na bado ati una ndoto za kuongoza taifa.
Kwamba siku hizi hata ibadani wanaenda na sare za chama. Na askofu anakiri kupokea "sadaka za wanachadema" na kisha kuwakaribisha chakula! Kwamba ibadani siku hizi...
Hii yangu nimepiga Moro Mwanza kama mara 4 sasa bila tabu kabisa. Mara zote nimeendesha bila kusimama. Yaani gari ikiwaka saa 11 asubuhi inatoboa saa 1 jioni Mwanza
Mzee mzima check facts zako vizuri! Hicho kilichopo milimani ni restaurant tu, hamna hotel, na unaweza kufika kwa kuhike pia, si lazma cable car pekee. Milima inayoonekana kwenye hiyo picha, huu wa kwanza unaofanana na "seal" unaitwa Lion's Head japo pia upo ndani ya hifadhi ya table mountains...
Kama una changamoto ya goti huwezi kukimbia (jogging) basi jiwekee mkakati wa kutembea angalau 5Km kwa siku! Hii itakuhitaji kama saa 1 tu. Tembea kwa Kasi yaani walau 10min/km.
Kama upo mkoa wenye milima, jifunze kufanya hiking (of course unahitaji kampani). Ukitoka hiking utakuwa na njaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.