Vipi, mtu akitoa hiyo asilimia bado tena utegemee atoa matumizi, matibabu ya family, atahudumiaje wazazi wake, bado ukweni kukipata majanga still mwanaume aombwe msaada.
Mtafanya wanaume tuchanganyikiwe, mtafanya ndoa iwe kama ajira sasa na watu wabweteke.
So mlinzi anaekomaa anapata mshahara...
Huyu atafanya watu waanze kuuulizana kuhusu kazi, kama mwanamke hana kazi itakuwa ishu kupata mwenza, wana complicate maisha ya ndoa na mahusiano yawe magumu.
Wanakuja na visheria kibao.
Like for this dude.
UKIMWI ni state ya muda tu, umeongea jambo kubwa boss. Actually napenda kuwa na marafiki wanaohitaji upendo, smbdy to show them the other side of life.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.