"Buyer be ware"This is a new member.Habari,
Mimi ni mwanamke mkristo wa miaka 31,nina mtoto mmoja. Ninajitokeza kwenu kuweka wazi nia yangu.Ninahitaji mwanaume ambaye ana nia ya kuwa na mahusiano ya dhati na tukijaaliwa tufikie ndoa.
Ninayemuhitaji
Awe na umri kuanzia miaka 35-45
Awe mkristo
Awe mkweli na muwazi
Awe na kipato halali
Awe na nia ya dhati siyo mbabaishaji
PM iko wazi ,mwenye uhitaji karibu.
Tuma picha kwanza tukuonenakuja pmHabari,
Mimi ni mwanamke mkristo wa miaka 31,nina mtoto mmoja. Ninajitokeza kwenu kuweka wazi nia yangu.Ninahitaji mwanaume ambaye ana nia ya kuwa na mahusiano ya dhati na tukijaaliwa tufikie ndoa.
Ninayemuhitaji
Awe na umri kuanzia miaka 35-45
Awe mkristo
Awe mkweli na muwazi
Awe na kipato halali
Awe na nia ya dhati siyo mbabaishaji
PM iko wazi ,mwenye uhitaji karibu.
Hapa ndio pagumu sasa
Nimecheka balaaaKuoa nako kumekuwa kama kazi za serikali. Sisi wenye 45 na miezi kadhaa hatuna letu tena. Tusubiri kufa na kuzikwa tu.
Wewe kwanini huendi?Wanakuja
We jamaa bhana. Kwahiyo aolewe na mwanamke mwenzie mwenye miaka 31 na mtoto mmoja ?Mungu akupe wa kufanana nawe
Humu hawezi pataWanakuja
yaani ampe watakayewezanaWe jamaa bhana. Kwahiyo aolewe na mwanamke mwenzie mwenye miaka 31 na mtoto mmoja ?
Kidogo kidogo tutaelewana wacha tuoneshane makali 🤣🤣🤣Wanakuja