Recent content by mr cool

  1. mr cool

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kuna mtu alinirespond kwenye changamoto yangu na kunipromis kuwa leo jumanne watu wa Tanesco (Surveyor) wataenda site niliyomuelekeza kusurvey. Lakini mpaka dakika hii sijapigiwa simu kama wamefika au la, na nampigia simu inaonesha call forwarding then haiconnect. Sasa najiuliza ndo hao matapeli...
  2. mr cool

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nashukuru sana kwa response yenu kwangu ktk kuhakikisha mnanisaidia kwa kero niliyoitoa. Japokuwa utekelezaji bado lakini kwa response niliyoipata nina imani kubwa ya kuwa mtanisaidia. Nimefurahi katika hili. Ushauri wangu kwenu Tanesco msisubiri mpaka watu waclaim kwenye medias ndipo mtoe...
  3. mr cool

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Jina ni MARCELINO TIMOTHY MLELWA Namba ya simu ni 0754250476 Sent using Jamii Forums mobile app
  4. mr cool

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nipo Peramiho - Songea DC, nimepeleka maombi ya kuunganishiwa umeme kama mteja mpya tangu tar 23/12/2019 kwa mpango wa REA lakini hadi leo hakuna Surveyor aliyefika. Na nyumba yangu ipo jirani tu na nguzo si zaidi ya Mita 30. Nimefuatilia mwezi February nikaambiwa niandike barua ya kuwakumbusha...
  5. mr cool

    Hiki kisa kimekaaaje wakuu???

    Hapo ntakupinga kidogo, umeangalia zaid negativity ambazo ni chache lakn ukienda upande wa pili ( positivity), utasema bora kuoa na ukishaoa upate mtoto hapo utaona utamu wa kuoa. But kila mtu yupo sahihi kulingana na mtazamo wake broo. Huyo rafikiyo alikujibu vile koz akili yake ilikuwa bdo...
  6. mr cool

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Idara Msingi, njoo Bariadi DC nije Ruvuma wilaya yoyote. Ni PM kma upo
  7. mr cool

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    NJOO SIMIYU - BARIADI IDARA YA MSINGI NIJE SONGEA. MAWASILIANO NITEXT KUPITIA (PM) HAPAHAPA.
  8. mr cool

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    KWA MWL WA MSINGI; TUBADILISHANE KITUO CHA KAZI, NJOO BARIADI H/ WILAYA MI NIJE MOROGORO HALMASHAURI YOYOTE. KAMA UPO TAYARI WEWE AU YEYOTE UNAYEMFAHAMU ANAHITAJI KUFANYA HIVYO, TUWASILIANE KUPITIA (PM).
  9. mr cool

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    OYA TUBADILISHANE KITUO CHA KAZI, MI NIJE SONGEA H/ MASHAURI YA WILAYA, NA WEWE UJE BARIADI HALMASHAURI YA WILAYA. UKIWA TAYARI WEWE AU YEYOTE UNAYEMFAHAMU NA ANAHITAJI KUFANYA HIYO EXCHANGE BASI NI PM TU.
  10. mr cool

    Ukomo wa ajira vyeti feki huu

    Ishu cyo kuchukuliwa hatua, ishu ni ucheleweshwaji wa kuchukua hatua hzo ambapo unaathiri mpaka stahiki za watu wengine wasio na hatia.
  11. mr cool

    Walimu Kahama watakiwa kutoa mchango wa 30,000/= za mwenge

    KAKA KWA HIYO BARUA UKIISOMA HAIONESHI SUALA LA HIYARI YA MTU KUNA KASHURUTI HUMO NDANI, LABDA KAMA KUNA MAELEKEZO MENGINE YA MDOMO
  12. mr cool

    Walimu Kahama watakiwa kutoa mchango wa 30,000/= za mwenge

    KWA KWELI HUU NI UONEVU, ILA KWA UKONDOO WA MWALIMU NDO BASI TENA IMEPITA NA ITALIPWA TUU. HEBU SASA WALIMU TUJIAMINI KATIKA KUTETEA HAKI ZETU.
  13. mr cool

    Kama haya ni ya kweli kuhusu NWO, basi hakuna aliye salama!

    SASA NDO UFANYE TATHMINI HAO VIONGOZI WALIVYOUA WATU NA HIVI VITA VINAVYOENDELEA KILA KONA, JE IDADI YA WATU INAPUNGUA AU INAONGEZEKA? HII DUNIA YA MUNGU CYO YA NWO ETI WAWEKE IDADI YA WATU WANAOTAKA WAO..NEVER HAPEN BROTHER...
  14. mr cool

    Benki zaanza kuwakamua Watanzania kwa kuongeza kodi (VAT) ya 18%

    Mpaka sasa sijamuona mtetezi wa wanyonge zaidi ni wakandamizaji wa wanyonge..Mfano Sukari anayeumia ni mtanzania wa kawaida na hii mikodi yao ndo tunaitimiza ile sheria/ kanuni ya mwenye kidogo ananyang'anywa na kile kidogo aichonacho..[wacha tuisome namba eeh......mbele kwa mbeleeee..*2]
Back
Top Bottom