Recent content by Mr commission

  1. M

    Kwakweli nilimpenda, angekuwa mvumilivu ningemuoa

    Mkuu Msaada wa Jina la Hii Movie.
  2. M

    Dada tuliekutana Mwenge please nitafute

    Shukuru Umeepushiwa Matatizo. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Ukiachwa achika, hivi kwa nini hamtaki kukubali?

    Tena ajabu zaidi ni kuwa wazazi wake wanamlazimisha binti yao abadili dili hili nalo halitumii nguvu kujuwa ni kiasi gani wazazi wa binti hawatofautiani na mwanao.
  4. M

    Hot topic: Uvaaji wa suruali za kitambaa

    Uliyoandika nasema upo sahihi kwa mtazamo wangu. Ila ikiwa hiyo picha ndiyo ulichozungumza si sawa. 1.Kiatu ulichovaa ni black wakati huo mkanda ni brown (Vinapaswa viwe na rangi moja) 2.Suruali ina lux (kama nimekosea nirekebishe) kubwa wakati mkanda ulionao ni mdogo hivyo inafanya mkanda...
  5. M

    Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

    Niliwahi. Aliniacha bila sababu nikiwa bado ninampenda sana, sikuacha kumpigia japo mara chache baada ya miezi minne akanirudia nilijisikia vizuri na furaha ila cha ajabu simpendi sana kama zamani. Hata naye analijuwa hili ila ndiyo alinipenda kuliko alivyowahi kunipenda. Nakubali ni kosa...
  6. M

    Changamoto za uke wenza

    Kosa kubwa alifanya baba yako ni kuoa mke pasina kuwafanya waunganike na wawe na haki sawa. Na hili kila atakayeoa akampa mwanamke mmoja haki na thamani kubwa zaidi ya mwenzake migogoro kama hiyo inakuwepo. Babu yangu alioa wanawake watatu na kila mwanamke alimjengea nyumba. Alihimiza kuwa kila...
  7. M

    Napenda kujiunga nanyi ma GT wa JF

    Unaonekana kuwa na busara sana. Si mwepesi sana wala mzito sana kukubali usichokijuwa badala yake unafanya uchunguzi. Hii nzuri. Ila zaidi kauuli zako zinajitosheleza kwa yeyote kutambua wewe ni mtu wa aina gani.
  8. M

    TBS hizi nguo za kichina mnaziona?

    Hapa kufua kwa petroli naomba nifafanulie zaidi, ufuaji kipimo.
  9. M

    Ukondefu unaninyima amani nifanyeje ili nipate walau vinyama kidogo

    Umesema wewe una mwili mwembamba ila me naweza kuwa nimekuzidi kwa kuwa na mwili zaidi yako wewe, nakumbuka darasani nilipokuwa sekondari nilikuwa naogopwa hadi na walimu muda mwingine kunichapa tena ukizingatia mimibni mpole sana. Ninachoshukuru sikuwahi kukufuru hata siku moja kwa kujuta hivi...
  10. M

    Aina Kumi Za Waume Ambao Wake Zao Wanakereka Kuwa Nao

    Hiyo tabia namba 9, kwangu mimi naona ni sahihi kumfuatilia mkewangu.
  11. M

    Matatizo ya Mzio (Allergies) Mbalimbali: Visababishi, Madhara, Kinga na Tiba

    Mimi kuna dawa nilitumia alhamdu lillah nashukuru imenisaidia ila pia + mazoezi mfano huwa nakimbia km kama 3 hivi.
  12. M

    Hivi unaweza kujua kuwa gesi imekaribia kuisha?

    Mfano ni hii hapa, mfano majiko makubwa wanauza pia pamoja.
  13. M

    I don’t wanna marry him, what should I do?

    Ikiwa atapewa sababu na akaelewa mtu kama huyo kwa uzoefu wangu kuja kuoa ama kudumu na mwanamke huwa ngumu sana kwakuwa anapoachwa hapewi sababu za msingi.
  14. M

    Mabinti wa kiislam na usafi

    Nisaidie iwe sahihi ikiwa kuna nililosahau.
  15. M

    I don’t wanna marry him, what should I do?

    Nilitaka kumuoa alinikataa akitarajiwa kuolewa na mwingine, ikashindikana akanirudia eti nimuoe na kipindi hichi sipo tayari. Haipo faida yako wewe kutaka asiumie kisa tu huitaji kumweleza ukweli kuwa humtaki wakati huo ndiyo ukweli, ataumia tu sababu anamatarajio nawewe hali ya kuwa kwako ipo...
Back
Top Bottom