Habar zenu wanajamvi?, ninandugu yangu ambaye kamaliza ualimu ngazi ya cheti hadi hao wazee wamajuu hawasomeki mara wanahitakika wale wa sayansi na hisabati ambaye wana shahada, sasa hawa wenye certificate mbona hawajadiliw? Na huyo NDALICHAKO mbona hawa madogo hawatumbui kama wale wa Sanaa...
Ni bora huyo mwanao kapangiwa kituo cha kaz, cc wengne hii mvua ya3, hatujui hata hatima yetu ni bora bwana ngosha autangazie umma kwamba hakuna ajira,mbona ni kitu simple, haitaji kutumia hata four figure, au huyu anashindwa kulieleza?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.