Bado wabongo tuna tabia ya kuthamini vitu vya nje na kudharau vya kwetu, huyu Ze mbwela ni mtangazaji mahiri ambae anaweza kushika hisia za wasikilizaji wake kwenye vipindi vyake, na nataka niwaambie kuwa hiyo kazi anayoifanya alipitia vigezo vyote vya utangazaji na ndio maana yuko pale, na...