AJALI: Basi la KIDIA ONE latumbukia mtaroni Mwanza

AJALI: Basi la KIDIA ONE latumbukia mtaroni Mwanza

Duh! Safari imeishia mkolani....poleni wahanga wa ajali hiyo
 
Inaonyesha gari iliteleza kidogo na kulala, na hii inasababishwa na wakandarasi wa barabara zetu kuziinua sana barabara na kuweka slope kali pembeni
 
Poleni

Na hii mitaro ya barabara zetu utadhani mahandaki

Sijui wanajenga hivyo wakizani ni sifa???
 
Mabasi na taili ya kichina yatumaliza. Mabasi na magurudumu haya ya kichina hayana kiwango cha kimataifa TBS mko wapi?
 
Inaonyesha gari iliteleza kidogo na kulala, na hii inasababishwa na wakandarasi wa barabara zetu kuziinua sana barabara na kuweka slope kali pembeni

Huyu alikuwa ana overtake ila ni uzembe wake kwasababu barabara hiyo hiyo magari yanapishana sasa iweje wewe kwako ndo ionekane barabara mbaya? alikuwa anaspeed sana na ndo maana lilimshinda ama mbele alingilia gari la kutoka Shinyanga ikabidi ahame kabisa kuingia kwenye mtaro
 
Back
Top Bottom