Sasa uta confirm vipi na nafasi zimejaa. Na wao hawawezi kudaili
sasa kuongeza capacity inaanzia mbali. Tokea kwa kuwepo kwa walimu wakutosha, miundombinu rafiki na ndio mana wanaweka limit ya wanafunzi kwenye Kila course
Sasa hayo masaa mawili je kama watu wamecomfirm mpaka wakajaza idadi inayotakiwa? Wao wamekuchagua kwa kuwa una qualifications lakini nafasi Zina idadi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.