Recent content by Mr Bigboss

  1. M

    F4 five vs OD labaratory tech

    Achana na advance, nenda chuo aiseee. Advance unaenda kupoteza muda TU.
  2. M

    COET or DIT

    Kuna utofauti kati ya technician na engineer
  3. M

    Mfumo wa Udahili wa Mwaka 2025/26 Umekuwa Kandamizi: TCU Acheni Watu Waamue Wanaenda Wapi

    Sasa uta confirm vipi na nafasi zimejaa. Na wao hawawezi kudaili sasa kuongeza capacity inaanzia mbali. Tokea kwa kuwepo kwa walimu wakutosha, miundombinu rafiki na ndio mana wanaweka limit ya wanafunzi kwenye Kila course
  4. M

    Mfumo wa Udahili wa Mwaka 2025/26 Umekuwa Kandamizi: TCU Acheni Watu Waamue Wanaenda Wapi

    Kwa vyuo vyenye competition kubwa dakika 5 nyingi sana aiseeee. Huwezi kuelewa Hilo
  5. M

    Mfumo wa Udahili wa Mwaka 2025/26 Umekuwa Kandamizi: TCU Acheni Watu Waamue Wanaenda Wapi

    Hawa watoto wa 2000 hawawezi kuelewa hili. Kila chuo na Kila course ina idadi yake. Ukichelewa tu ku confirm imekula.kwako
  6. M

    Mfumo wa Udahili wa Mwaka 2025/26 Umekuwa Kandamizi: TCU Acheni Watu Waamue Wanaenda Wapi

    Sasa hayo masaa mawili je kama watu wamecomfirm mpaka wakajaza idadi inayotakiwa? Wao wamekuchagua kwa kuwa una qualifications lakini nafasi Zina idadi
  7. M

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Profession: PARTS SALES Experience : 7 years Education level: Bachelor degree Location: Ubungo, Dar.
  8. M

    Wale tuliosoma advanced mathematics -pure- ni topic gani ilikutoa povu na ipi uliionea

    binafsi differential niliona nyota nyota nilivyofundishwa mara ya kwanza, toka hapo nikaipotezea mazima kwenye pepa nikawa sifanyi swali lake
  9. M

    Yanga anaweza kuchukuwa kombe ili la shirikisho

    walijazana nyuma ila matokeo yakuwaje? 😄 😄 😄 :D
  10. M

    Kupata D au E ya physics A level ni kazi kubwa kuliko kupata degree ya biashara au ya arts, je ni kweli?

    physics A level lazima uwe umejikaza bila ya hivyo utaona dunia chungu
  11. M

    Nataka kusoma Clinical Medicine. Je, hali ya ajira ikoje?

    ajira hazitabiriki mzee, soma course yoyote unayoipenda
Back
Top Bottom