Em namimi nizungumzie hizi taarifa za KIPUUZI na za UZUSHI kuhusu swala hili....
Nmeona watu wengi humu jukwaani ambao wanaleta taarifa za UONGO... Mara oooh post leo mara oooh post kesho...
Hivi ukikaa kimya pale ambapo kitu haukijui unapungukiwa nini au ndo mnaotea ili ukisema siku na...
CCM oyeeeeeeee..... (itikeni wadau)
Tamisemi oyeeeee.... (itikeni wakuu) WANANCHI KIMYAAAA....
kama nawaona vile mlivyokerekwa na post doh hahahahahahah
Mungu atupe uvumilivu maana kuna watu wanakaa mtaani na vijiweni kuanzia asubuhi mpaka jioni matokeo yake wataanza kujifunza kuvuta...
Inabidi wakati mwingne nijifariji kwa bata za hapa na pale lakini mmmmh majangaaa.....
Serikali hawataki kutoa post mpaka nimpe mimba mtoto wa nyumba ya pili hapa afu niende jela miaka 30 miee maana mtoto mwenyewe mwanafunzi halafu mzuriii kichizi.... c kesi hizi jamani ... Doh...
"NZI akiacha ujinga wake, ipo siku atatengeneza ASALI"... Kweli nmeamini serikali DHAIFU ya CCM imeshindwa kutekeleza majukumu yake hata katika hili....MUNGU IBARIKI TZ NA WALIPA KODI WAKE KWANI VIONGOZI WANASHINDWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO IPASAVYO....
Ngoja tuone kama mwaka huu watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.