Acha kuxungumzia chenge Mimi ni mkaz wa bariad na nimzaliwa wa hapa nambie ni lini chenge alipita bila kupingwa taja mwaka then nikupe na majina ya aliopambana nao kila uchaguzi usipotoshe
Yeye anawezaje kukana kwani yeye ndiye aliyeporwa mbona ccm ni wajinga kiasi hiki hebu nitoe mfano MTU akisema amepigwa na mtu fulani anawezaje kujitokeza mtu ambaye hakuwepo na kusema hajapigwa kwanza CCM ni watuhumiwa kwenye hilo so hawana moral authority ya kusema chadema hawajaporwa...
Mimi in chadema lakin chadema na nyinyi mmekuwa wapumbavu na mikakati mibovu kwanini arudishe form pekeyake wakati lissu alisema wakati wa kuchukua na kurudisha form mgombea asindikizwe sasa kama angekuwa na wenzake hao wahuni wangemnyang'anyaje form huo ni upuuzi kwa upande was chadema hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.