Jengo leo upande wao hakuna Picha ya Raisi wetu Pendwa Mule John Pombe Magufuli upande ule wanakaa Kaa Wale Wa Tanzania.
Kwetu kule Raha tupu Adha tuzipatazo Upande wa Zambia ni balaa, Fika Boder ya Kasumbalesa ,Fika Mpulungu una Book Passport na hela unatoa ile ya dharura ikiandikwa Biashara...
Njaaa unaziona kwa Wa Tz ila Zambia ni halali, January nilisafiri na Mtumishi wa Serikali tena Mwalimu shule Moja Mbalizi alikua anakwenda kwa Mumuewe Kitwe alikataliwa hakua na ushahidi wasafari na barua toka kwa Mwajiri madalali wakachukua elfu 40 na hakuruhusiwa hadi tunaondoka saa 12 Asubuhi...
Ushafipa Nakonde hasa ukipitapale Usiku? Adha ya pale uliza madereva ,Uhamiaji Tanzania washanisaidia zaidi ya mara 2 nishazuiliwa Zambia tena nikiwa napata tu kwenda Harare, Naamini ukiwaona Maafisa ukiwaeleza zumuni ya safari yako sidhani kama watakuzui labda uwe umbeba unga ndio wengi hawa...
Usiwasingizie Jamaa wa Uhamiaji pale napata sana na hua wanauliza ushahidi wasafari nikweli, maana lazima wajua unapenda ni salama kwako ,Pale kuna wale Madalali na wako wengi sana hata mimi walisha niliza mambo ya kadi ya chanjo ilinitoka ,wao wanachukua hela na haifiki hata kwa hao maafisa...
365 Bidhaa nyingi zinazotumika mwambao wa ziwa Tanganyika kuanzia Chipwa hadi Kigoma kama Juice, Biskuti, Unga, zinatoka zambia, na sehemu wanayo chukulia mzigo ni Mpulungu, usafiri ni Mv Liemba na Maboti ya Mbao
Imezama upande gani maana ziwa tanganyika nikubwa kwa Tanzania ni Kigoma hadi Chipwa Mkoani Rukwa, wapi sasa, na Congo hiyo Moba, Nkorosha, Kiku, Uvira ama Kalemie, fafanua uzuri
Hao samaki wanapatikana baadhi ya Maeneo kwa aina tofauti, kuna wanao patikana mwambao wa Kigoma, Maeneo ya Rukwa kama Kipili, Kasanga, Kabwe, Ikola, kuna wanao patikana Zambia na aina nyingine Nchini Congo hasa Moba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.