Recent content by Mpungagwalue

  1. Mpungagwalue

    Kupungua kwa uwezo wa kuandika Kiswahili fasaha

    Mimi nimetatizwa na wanaotumia maneno kwa kutamka idadi na hasa maneno haya. Watu kumi na wanne, ishirini na watano, thelathini na watatu (badala ya kumi na nne, ishirini na tano, thelathini na tatu)wamepoteza maisha katika ajali hiyo. Nijuavyo ni kuwa kwa kujua idadi inatamkwa nne (embe nne...
  2. Mpungagwalue

    Zifuatazo ni dalili za mwanaume asiye na pesa

    kkwenda, unanisema kijanja.
  3. Mpungagwalue

    Kutunza siri ya mchepuko

    Siku hizi unaonja kabla ya kuoa, kama hukuridhika naye ungeendelea kuonja onja mpaka ungempata huyo unayemwita mchepuko.
  4. Mpungagwalue

    Meck Sadick aipongeza Mvua na Kuishukuru Kwa Kuwahamisha Wakazi wa Mabondeni!

    Walipewa viwanja, wakauza na kurudi tena mabondeni. Sasa wanasema watahamia wapi na walipwe. Naamini kuwa kuwa ulitafuta pesa na ukazidunduliza kwa kujinyima mambo mengi yasiyo na manufaa. Ulitakiwa pia ufikirie wapi utahifadhi (kupata eneo maridhawa) pesa zako ulizozitafuta kwa muda mrefu...
  5. Mpungagwalue

    Ushuhuda: Madhara mbalimbali ya Vidonge vya Uzazi Wa Mpango

    -Dada mmoja alisema vidonge vya mpango vinaongeza hamu ya kujamiiana. Wanawake wengi wanaotumia wana ugonvi wa kutotosheka na waume zao na kuanza kutoka nje.
  6. Mpungagwalue

    Pitia hapa ujue faida za sperms

    Mushi92, hii nimeisoma juzi na nimeipenda sana. Kwa ufahamu wangu wa wana JF kuwa wasikivu bila hata kuipa changamoto (hallenge)ya kweli ni kwamba wamekubaliana nayo, name nakubaliana nawe. Ila naona madhara yake yameegemea sana kwa mwanamke, vipi madhara kwa upande wa pili? Mwisho hongera sana...
  7. Mpungagwalue

    Afisa Usalama (Hemed Sabura) na Afisa Utawala (Benson Mramba) wa CHADEMA wanashikiliiwa na Polisi

    Rais - J.K Nyerere , Mkuu wa majeshi - Musuguli, Gavana wa benki kuu - Nyirabu, Jaji Mkuu Nyalali, hebu endeleza na wengine.Ndugu kuna vitu lazima upange mkakati uliokamilika unahitaji watu makini na unaoweza kuwaambia wakaelewa. Ndivyo alivyoanza Baba wa Taifa na kasha baadae ndiyo...
  8. Mpungagwalue

    Sitaki kuamini hili, nisaidieni

    Sifa unazo ila mapambano tu, wengi wanatafuta kazi. Endelea tu hatakwa muda mrefu ipo siku utatafutwa na wengi.
Back
Top Bottom