Pitia hapa ujue faida za sperms

Pitia hapa ujue faida za sperms

ukweli ALLAH is more than anything hiyo ilimu nimeipata vizuri vp kwenye QURANI ipo aya ya ngp na sura gani

Samahan mkuu.... Hata qurani sijui inafunguliwa vipi.....
 
Kuna mengi ya ukweli na mengi yasiyo na ukweli kisayansi katika maada hii. Ukisema manii inapanda kwenye @maziwa kwa mama anayenyonyesha hiyo unaielezeaje kisayansi?
Chakula kinaingia vipi kwenye damu mkuu
 
We hii historia umeiandika kupitia reference gani?mbona imejaa uongo sana?
 
Mushi92, hii nimeisoma juzi na nimeipenda sana. Kwa ufahamu wangu wa wana JF kuwa wasikivu bila hata kuipa changamoto (hallenge)ya kweli ni kwamba wamekubaliana nayo, name nakubaliana nawe. Ila naona madhara yake yameegemea sana kwa mwanamke, vipi madhara kwa upande wa pili? Mwisho hongera sana kwa kazi nzuri ni mategemeo yangu tutapata thread nyingi zenye mafunzo (MUNGU na sayansi):A S-rap:ya aina hii.
 
Back
Top Bottom