Nadhani ni namnantuu ya kumrudisha katika mfumo...kama kutatokea kuwa na reshaffle ya Administration basi tegemea kumuona ktk nafai zenye ushawisbi katika utawala huu
Nadhani huyu jamaa amekuja na SIASA zake NEVER LET IT GO EASILY...ameshindwa kabisa kukubali....anachowaza sasa ivo ni CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA....ngoja ifike 2025....
Traffic cases zipo kila siku .....we utakuwa mtumiaji wa frequent kwa hicho kipisi....hai-himo kwahyo huwezi kuwakimbia kama umewakariri ivoo.....wewe la Muhimu kamilisha kila kitu ktk chombo chako,kama speed limit ni 50 nenda 45-50....vaa mkanda zingatia mistari....uone kama watakuwa na time na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.