Recent content by mpolamwihi

  1. M

    Nahitaji nguruwe wachanga

    Nahitaji kununua nguruwe wachanga wa kununua ili nifuge ila nguruwe hao wasiwe nje ya Mkoa wa pwani wilaya ya kibaha pamoja na chalinze pia Mkoa wa morogoro wilaya morogoro mjini
  2. M

    Kinachoendelea Syria, Mungu haoni?

    Jiongeze ,Mungu kakupa amri kumi ndiyo katiba ya kuiongoza Dunia
  3. M

    Msaada: Eneo la Mtambani linapatikana wapi Dar es Salaam?

    Mtambani ni mtaa uliopo katika kata ya vingunguti Manispaa ya Ilala
  4. M

    CCTV camera installation course

    VETA CHANG'OMBE DAr es Salaam gharama 450,000 miezi mitatu
  5. M

    Wanaotokea mwambao mwa ziwa Nyasa Mbamba bay , Liuli, Njambe ,Mkili ,Ngumbo n.k tuzungumze hapa

    Uhavi njeta twende tukawekeze fursa ni nyingi sana njia zimefunguka vijiji vyote vinafikika
  6. M

    Wanaotokea mwambao mwa ziwa Nyasa Mbamba bay , Liuli, Njambe ,Mkili ,Ngumbo n.k tuzungumze hapa

    Wale Ndugu zangu wa Nyasa njooni tuongee fursa za kiuchumi zilizopo mwambao mwa ziwa Nyasa na changamoto zinazotukabiri
  7. M

    KUNA TABIA IMEIBUKA YA WATU WANA KULA MATUNDA NJIANI LAKINI NYUMBANI HAWAPELEKI KWA FAMILIA ZAO

    Nimefuatilia sana hapa mtaani mabibo mwisho,mbagara zakhim,Tandika mwisho,mwenge ,external nk, jamaa wanagonga pweza and then wanashushia na matunda mchanganyiko wanasepa mikono mitupu inanikera sana
  8. M

    KUNA TABIA IMEIBUKA YA WATU WANA KULA MATUNDA NJIANI LAKINI NYUMBANI HAWAPELEKI KWA FAMILIA ZAO

    Naomba tulijadili hili jambo, katika Jiji la Dar sijui Mikoa mingine Kuna wauza matunda wengi wanauza matunda ambayo wamesha yaandaa tayari kwa kuliwa utaona jibaba anagonga matunda pale and then anaondoka kwenda Nyumbani mikono mitupu sielewi kama hana familia au ni uchoyo? Naomba tujadili hili
  9. M

    Nahitaji kununua Pingu, wapi nitazipata

    Nenda duka la siraha pale Tanganyika Army pale station karibu na central polisi wanauza 80,000 tu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M

    Bei ya gesi ya kupikia majumbani yapanda

    Ukiamua hiyo biogas unaipata vizuri kabisa Sent using Jamii Forums mobile app
  11. M

    Bei ya gesi ya kupikia majumbani yapanda

    Maandiko yanawema "watu wangu wanaangamia kwa kukowa maaeifa"kwanini usitumie Biogas ambayo gharama ya uendeshaji ipo karibu na Bure?nitafute nikupunguzie gharama ya nishati Sent using Jamii Forums mobile app
  12. M

    Lutengano high school special thread

    Pro J wakati akiitwa sura ya bata Sent using Jamii Forums mobile app
  13. M

    Poor waandishi na magazeti ya Tanzania!!?

    Nyinyi mbona wagumu kuelewa na kwanini kila kitu mnapinga tu na kuongeza sentensi zenu, mlisema serikali itapelekwa mahakani lakini by TL , barrick wamejileta wenyewe kwenye 18 wanataka kulipa bado mnabadisha sentensi lakini hata kama kukaa meza ya mazungumzo ni hatua kubwa tofauti na...
  14. M

    Bodi ya Kimataifa ya Ushauri kwa Bodi ya Wakurugenzi na Watendaji ya Barrick Corporation Group...

    Hawa jamaa watulipe pesa zetu ,kwanza kabisa tulipe deni la nje tirrion 50 ili tuwe huru baada ya hapo wachumi mtatuambia tufuatie na nini
Back
Top Bottom