Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,894
- 52,486
Huku manjis ni shida,Huku kwetu 15kg manjis 45000
driller[emoji1007][emoji1008]
Nina kamtungi kadogo ka manjis nimekafungia tu.
Huku manjis ni shida,Huku kwetu 15kg manjis 45000
driller[emoji1007][emoji1008]
Ukiamua hiyo biogas unaipata vizuri kabisaHiyo biogas hapa mjini na chumba kimoja unaipataje?
KWa msg nilionayo
ORYX GESI WAMEPANDISHA BEI KAMA IFUATAVYO
KG 6 KUNUNUA 17"000 KUUZA 20"000
KG 15 KUNUNUA 42"000 KUUZA 47"000
SIJAELEWA LENGO LA KUCHEZESHA WATU AKILI HIVI NINII
NIHIVI MAJUZI BEI ZILIKUWA 48"000/2000
WAKAPUNGUZA ZIKAUZWA 18"000/45000
LEO TENA MNAPANDISHA KWANINI MSIAMUE KABISA KUBAKI HUKO HUKO WATU WAZOEE BEI KULIKO KUWAFANYA MATONDO.
MWISHO POLENI WATUMJAJI WENZANGU KAZI NSIO IMEANZA FUNGENI MIKANDA
NakupatajeMaandiko yanawema "watu wangu wanaangamia kwa kukowa maaeifa"kwanini usitumie Biogas ambayo gharama ya uendeshaji ipo karibu na Bure?nitafute nikupunguzie gharama ya nishati
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile gesi ya mtwara sio hii nayotumika kwenye mitungi hii ya kupikia, hii tunayotumia ni LPG na ile ya Mtwara ni NATURAL GAS. Hii ina agizwa toka nje kama mafuta mengine.Hili swali hata watawala hawawezi kukujibu
Hatuna teknolojia ya kuweka ile gesi kwenye mitungi ya kupikiaHivi ile gesi ya Mtwara bado haijaanza kuchimbwa au lile bomba bado halijakamilika
Gesi ya mtwara inatumika viwandani, majumbaji ni mpaka ije kwa mabomba, bado sana
Viwanda gani mkuu?Gesi ya mtwara inatumika viwandani, majumbaji ni mpaka ije kwa mabomba, bado sana
Sent using Jamii Forums mobile app