PATRIOTISM!
Mungu anisamehe, ila JKN alifanya mambo makubwa sana hapa nchini, sina haja ya kuelezea juu ya mchakato husika, yes, hata kujiita Wa-Tz ni kwa sbb yake but, lipo jambo hapa linalohitaji udadavuzi! Nalo ni (question-wise): Ni kwa nini ni vigumu sana kwa Mtanzania kujivunia u-Tanzania...
Tatizo hilo laweza kuwa ni hili lililogunduliwa cku za karibuni, linahusu BACTERIA ila sio wale wa Typhoid but ni bacteria walio mwilini mwako kwa kazi maalum ya uyeyushaji wa chakula (Flora). Imegundulika kuwa bacteria hawa muhimu na wasio na madhara waweza geuka na kuwa wabaya pale panapotokea...
Oh my goodness! Hivi unajua maana ya SURVIVAL? Au HUMANITARIAN needs? Kama tumeshabanwa mbavu kiasi cha survivability yetu na familia zetu kutikiswa unataka tufanyeje? Tukimbie nchi kama kina Kambona? Halafu twende wapi, kwa Trump?!!!! No way, ngoja tuendelee kuchumia matumbo tu maana hakuna...
Mh! Ni kama vile kuna kitu unakihisi humu ila huwezi kufunguka! Ok, tell us something, unadhani wanaokuhujumu au kutokutendea haki ni MODS au MEMBERS wenzio?
Kama unadhani ni MODS it's fine ila kama unadhani ni MEMBERS wenzio, basi wewe ndio utakuwa kwenye wrong way! Maana members wa humu ni...
Mh! Kwani wakati ule serikali ilipomuwekea vikwazo kupitia kwa wasaidizi wake na uzalishaji wa cement kusitishwa si alikuja na taarifa zilizopo ni kuwa aliongea na MKULU na wakafikia muafaka?!!! Yes ofcourse, baada ya hapo nakumbuka kuwa production iliendelea. What's going on now?! Kwa nini...
Kwa hiyo sisi tulioajiriwa na Govt tuache kazi tukaoshe magari? Acha uchochezi! Kwanza sisi tunaitwa 'Watumishi" sio "Wafanyakazi" hivyo tunakula kwa urefu wa kamba ya "kutumikia".
Kwa kuongezea, naomba ufanye utafiti wa kimya kimya kwenye ukoo wako, pande zote 2 (baba na mama) halafu utuambie kama hakujawahi kutokea mwenye shida ka ya kwako. Vinginevyo utuambie kuwa hata hao wasio na uwezo au uwezo mdogo wa kupata watoto (low fertility) wamesababishiwa na "puli', acheni...
Nipende kuchukua fursa hii pia kuwaasa Vijana wa Kibongo kuwa tuwe na tabia ya kusoma! Cku hz wala huhitaji vitabu kama enzi zetu, ni suala la ku-google tu halafu "uterial" unamwagika unapata maarifa, haya angali utafiti huu kwa kina halafu fanya majumuisho useme "puli" ina mchango gani kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.