Kuna moja uzalendo ulinishinda nikauliza HIVI HAKUNA MENGINE KILA SIKU MARA MIHOGO YA SHULE ILIKUA MITAMU mara FULANI SHULE ALIKUA MTORI SANA.... nikawambia MBONA YASHAPITAGA HAYO!!?
Muislam ni Mtu ana madhaifu yake anaweza kuua Mtu bila sababu, je uislam unataka Mtu aue?... Muislam anadanganya, je uislam unataka Mtu adanganye.... Soma Uislam usimsome Muislam
Kua Saratani inahama, ukiwa nayo hiyo unayo tu... ikiwa Mkono wa kulia wakikata inahamia Mkono wa kushoto..... wakikata inahamia Kidole cha Mguuni hadi unahama Duniani unahamia Kaburini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.