Recent content by Mpevu

  1. Mpevu

    Nyumba inauzwa jijini Mwanza

    Ninauza nyumba yangu binafsi, ipo jijini Mwanza eneo la Luchelele si mbali na ziwani. Inavyumba 3, viwili vikiwa ni self, sitting room, kitchen na public toilet. Imejengwa kwa mpangilio wa ramani ya mtaa. Nitabandika picha yake. Kwa aliye interested tuwasiliane kupitia 0715887777 au 0762123133...
  2. Mpevu

    Duh! Fastjet kiboko dk 45 kumbwani

    Air Bus One, acha watu waote.
  3. Mpevu

    Tunaitaka Tanganyika yetu! Wakati ni huu...

    Well said comrade.
  4. Mpevu

    Tunaitaka Tanganyika yetu! Wakati ni huu...

    Inadaiwa Muungano unang'ang'aniwa kwa sababu za kiusalama tu.
  5. Mpevu

    Tunaitaka Tanganyika yetu! Wakati ni huu...

    Kweli kabsaaaaa.
  6. Mpevu

    Tunaitaka Tanganyika yetu! Wakati ni huu...

    Brilliant input, umenena vema sana mkuu.
  7. Mpevu

    Tunaitaka Tanganyika yetu! Wakati ni huu...

    Nakuunga kwa ulilonena hapa.
  8. Mpevu

    Tunaitaka Tanganyika yetu! Wakati ni huu...

    Haya maneno makali, ila Watanganyika tupo na ndio maana tunaililia.
  9. Mpevu

    Tunaitaka Tanganyika yetu! Wakati ni huu...

    Ni kiini macho, hebu tazama maudhuiyote ya sherehe hizo na upime uzani wa kumbukumbu za Muungano, katu huwa haitajwi Tanganyika au ule uwanja wa Taifa/Uhuru upande mmoja uwe ni wananchi toka Zanzibar na mwingine uwe ni wananchi toka Tanganyika (iwe hadharani).
  10. Mpevu

    Tunaitaka Tanganyika yetu! Wakati ni huu...

    Japo mdudu fitna kaingia, ila Tanganyika yetu lazima tuililie. Chama tawala mwatupeleka tusikokuhitaji wananchi.
  11. Mpevu

    Tunaitaka Tanganyika yetu! Wakati ni huu...

    Mkuu, maneno yako nimakali kuyasikia. Ila lazima Tanganyika yetu ipatikane.
  12. Mpevu

    Tunaitaka Tanganyika yetu! Wakati ni huu...

    Tena twaisubiria haswaaaaa.
  13. Mpevu

    Biashara ya Dhahabu

    Nathubutu kusema "usithubutu biashara ya dhahabu", hiyo biashara ni nzuri kuiona na kuisikia tu. Ukiingia...hutoamini. Nakushauri, achana na biashara hiyo, I've a vast experience on it.
  14. Mpevu

    Baada ya Putin kujimegea CRIMEA, tazama majimbo mengine yatakayoingia mtegoni

    I stand for what Russia is doing in the area.
  15. Mpevu

    Tunaitaka Tanganyika yetu! Wakati ni huu...

    Eee Mola wangu, nisaidie na nijaalie nchi ya Tanganyika inikute nikiwa hai...aamin!
Back
Top Bottom