Ninauza nyumba yangu binafsi, ipo jijini Mwanza eneo la Luchelele si mbali na ziwani. Inavyumba 3, viwili vikiwa ni self, sitting room, kitchen na public toilet. Imejengwa kwa mpangilio wa ramani ya mtaa. Nitabandika picha yake.
Kwa aliye interested tuwasiliane kupitia 0715887777 au 0762123133...
Ni kiini macho, hebu tazama maudhuiyote ya sherehe hizo na upime uzani wa kumbukumbu za Muungano, katu huwa haitajwi Tanganyika au ule uwanja wa Taifa/Uhuru upande mmoja uwe ni wananchi toka Zanzibar na mwingine uwe ni wananchi toka Tanganyika (iwe hadharani).
Nathubutu kusema "usithubutu biashara ya dhahabu", hiyo biashara ni nzuri kuiona na kuisikia tu. Ukiingia...hutoamini.
Nakushauri, achana na biashara hiyo, I've a vast experience on it.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.