Nyumba inauzwa jijini Mwanza

Nyumba inauzwa jijini Mwanza

Mpevu

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2010
Posts
1,803
Reaction score
179
Ninauza nyumba yangu binafsi, ipo jijini Mwanza eneo la Luchelele si mbali na ziwani. Inavyumba 3, viwili vikiwa ni self, sitting room, kitchen na public toilet. Imejengwa kwa mpangilio wa ramani ya mtaa. Nitabandika picha yake.
Kwa aliye interested tuwasiliane kupitia 0715887777 au 0762123133 au 0682777778. Bei ni 35m, serious buyers tuwasiliane.

Ahsanteni na karibuni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom