Kwa ufupi ni kwamba azam TV wamekuja kusambaratisha media za bongo na nchi jirani.siri yao ni uwekezaji mkubwa wa mtaji na kufahamu mahitaji ya mfuatiliaji wa media...
Nimemsikia Leo muhandisi wao akidai kuwa chanzo cha kukatika katika umeme Lindi na mtwara ni tatizo LA uchakavu wa mashine...sasa ni kwa nini shirika nyeti kama hili lisinunue machine mpya...wamekuwa walijiendesha kibiashara je mapato ya shirika yanatumikaje.
Hebu muwe serious,umeme ni bidhaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.