Naomba ushauri wa kina wa kiafya zaidi juu ya uvutaji bangi

a31ab2604bf82d0194f24f8f52d09725.jpg
 
Bila kufuata kichwa cha habari na kiini cha mada tunakuwa tunajadili sasa kama vijiweni ,kuwa open forum haimaanishi mada za jukwaa la dini ukachangia kama jukwaa la wakubwa it's open ndio mawazo yoyote yanaheshimika/yataheshimika endapo yatakuwa kwenye mada.
Who are you by the way, a monitor, a quality assurance controller or what? if you don't have anything meaningful to contribute to this thread, back off
 
Kuvuta bangi ni kosa la jinai kama kuiba, kukaba na kubaka. Kwa ushauri wangu, si vyema sana kushirikisha watu nia yako ovu ya kutenda kosa la jinai la aina yoyote pamoja na kuvuta bangi.
Na unajuaje kama akipata hiyo elimu na akapata na ushahidi juu ya madhara ya bangi itamsaidia kusambaza hiyo elimu kwa hao rafiki zake na watu wengine kwa ujumla na kupelekea wao kuacha.
Kuna kutu kinaitwa " FOR EDUCATIONAL PURPOSES ONLY"
 
kisayansi mmea wa bangi hauna madhara kiafya bali unaweza ukatumika kama dawa pia kiburudisho coz effect yake kwa some people inawapeleka higher but remember too much is harmful bro
source google.com/marijuana
 
kisayansi mmea wa bangi hauna madhara kiafya bali unaweza ukatumika kama dawa pia kiburudisho coz effect yake kwa some people inawapeleka higher but remember too much is harmful bro
source google.com/marijuana
vp hawa wanaovuta nakupata matatzo yakiakil
 
Blessed love and greetings brethren

Nimeona unaomba ushauri kuhusu herb. Hususani upande wa afya.

Kukujibu, marijuana is safe, especially if grown naturally with no chemicals.

Hatahivyo haiishii hapo.

Kumbuka unapo "burn" herbs tayari kiwango kidogo cha carbon monoxide kinatengenezwa na hii inaathari kiasi.

Hatahivyo kuna njia salama.

Wewe unajua chalice?

Hiki ni kifaa rasta tunatumia. Naona ni salama zadi kama wewe unajali afya kwa kiwango cha juu.

Pia nikuulize swali. Wewe unazingatia vyakula bora?

Na je chakula bora kwako ni nini?

Lakini nikwambie tu kutumia herbs ni lifestyle. Haiishii kwenye kuvuta tu. Ikiwa lengo lako ni kuvuta ili uwe kama hao marafiki uliowaelezea sidhani kama utapata matokeo unayoyataka.

Badili mfumo wako wa maisha kama lengo lako ni kupata "true happiness"

Wapo watumiaji herbs wengi tu na wanafanya mambo ya hovyo hovyo tu.

Ukitaka ufurahie herbs basi jitahidi kuelewa RASTAFARI LIVITY

Kila la kheri.
 
Bangi ni ile nia yako, una vuta ili iweje, asilimia kubwa ya wanaouvuta kwa starehe huwa watulivu hatuna mbwembwe na mara nyingi hupenda kuvuta kwa kificho kutokana na jamii inavyochukulia mmea..

Wanaovuta na kuwa wahuni na kufanya usela mavi, ni vile walivyoichukulia.. wengi huwa wanavuta kujua kile nj kilev cha wahuni, wengi wanavuta ili waonekane wahun...

Mie nakushauri km unavuta vuta tu kwa starehe usivute ili uonekane msela..

N.B ikikupenda sawa, isipokupenda iache usije kuwa chendu bure

Nmevuta kwa miaka kama 10 hv tokea form two, mpaka nilipoamua niache.. hawala hana talaka, mara moja moja huwa nazimua.
 
Mkuu ukivuta the only thing utajutia ni kuchelewa kujua maajabu ya huu mmea, kuna ukweli mwingi umepotoshwa kwa kwa benefit za watu fulani(kibiashara) na mbaya zaidi wao wanaitumia, umeuliza kuhusu madhara kiafya, mkuu hamna mtu alieshawahi kufa kwa kutumia huu mmea(no recorded death) labda mtumiaji awe anachanganya na vitu vingine ila plant kama plant ni zaidi dawa unaweza kufanya research ya watu wanaokula "dry" hawaugui hovyo. Mkuu ukifuatilia takwimu sigara na pombe zimeua watu wengi sana na zitaendelea kwa sababu ya sumu zilizobeba lakini hili sio kwa huu mmea mtakatifu "Bob" alishawahi kusema kuliko wanae wanywe pombe au wavute sigara ni bora watumie kaya kwa sababu hasara pekee atakayoipata ni kukuta kila siku asubuhi friji lipo empty( watakula sana)
 
vp hawa wanaovuta nakupata matatzo yakiakil
Hawa watakua na walikua na mapepo maana bangi na mapepo havichangamani ndo bomu likalipuka hapo, naweza kusema hivyo kwa sababu idadi ya vichaa mitaani na idadi ya wavuta bangi tofauti ni kubwa sana(watu wengi wanatumia huu mmea na wengine ni viongozi wakubwa tu na wanafanya vizuri) sasa kwanini hao tu wawe vichaa
 
cjajua nianzie wapi kukushauri, ila leo test tena, vuta stiki kama tano hivi, kisha njoo katika huu uzi, pitia ushari mmoja baada ya mwingine, ukiweza maliza bila ya kupanic, ganja inakufaa, ila ukishindwa acha..maana jamaa alikuwa anavutia ndani huku huku akicheki documentary ya amazon, kule mvua mwanzo mwisho, kipindi kilipoisha, akatoka nje na mwavuli
 
Back
Top Bottom