hili usala tukienda icj tunakuwa tunasubiria kama bahati nasibu tu, lolote laweza kutokea, na ndio maana malawi wanao ujasiri mkubwa sana kwamba twende icj, malawi wanapata wapi ujasiri huo? mbona wana uhakika sana kuwa tukienda icj wao watashinda? ushahidi wao uko wapi, pengine wana evidence za...
hii kesi tukienda ICJ tunaenda kushindwa. hakika yake mtakuja hapa na kunikumbuka. ilitakiwa tukatae kwenda icj kwasababu kwenda kule ni voluntary. ili icj iwe na jurisdiction kwetu sisi tunaogombana na malawi, UN charter inasema kuwa lazima nchi zote mbili zi consent kuwa wanataka jambo lao...
labda hawana mashine za kudetect fedha halali na bandia kwenye matawi yao ya bujumbura na wameambiwa kwasababu tz kuna pesa bandia nyingi, wasipokee hela hizo. si unajua wakati mwingine matapeli wa kibongo wanasababisha hata watu wasio matapeli kama wewe wapate shida kutokana na yale...
tumeboresha, kwenye blog yetu sasa tumeamua kusaidia jamii hasa wanafunzi na watu wengine kupata material ya sheria bure. ukiingia hapo kwenye downloads utapata vingi. tunaviweka kila siku na utafaidika sana.
bofya hapa SHERIA KWA KISWAHILI
asanteni sana na Mungu awabariki.
nchi ya thailand na china na nchi zingine za asia haziwezi kufanya hivyo kwasababu zinafaidika na biashara hiyo na wao sio ambao wanaathirika na kupungukiwa na tembo, haiwaumi tembo wetu kuuawa. ila kusema kweli, inauma sana, leo kwenye taarifa ya habari nimeona wamekamata meno ya tembo 90, that...
nimefungua nimeona mengi humu ndani, asante sana kwa link aisee. pia waweza kuchungulia na hapa pia huwa tunajibu maswali mara nyingi. bofya SHERIA KWA KISWAHILI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.