Recent content by Mpenda kazi

  1. Mpenda kazi

    Yanga ina mashabiki Waislamu, Wakristo, wapagani, wanachama wa CCM, CHADEMA, CUF, wasionachama n.k

    Tatizo hujui asili halisi ya uanzishwaji wa Yanga, walionzisha Yanga, na asili ya eneo ambalo Yanga imeanzishwa.
  2. Mpenda kazi

    Wadau wa Cryptocurrency njooni tushauriane coins za kununua!

    Nakushauri nunua PI coin na chimba PI kwa njia ya simu weka muda wa miaka 3 utakuja kunishukuru.
  3. Mpenda kazi

    Nchi za Kikristo zinawezaje kuishi kwa amani namna nii?

    Hizo nchi zina UTAJIRI wa aina yoyote mkubwa kama MAFUTA? Zinaingiliwa na nchi zingine katika chaguzi zao, migogoro yao ya ndani n.k? Hadi umri huo hujui kwanini baadhi ya nchi za imani tofauti na UKRISTO zinapigana vita vya kutengenezwa? Au umeamua kujifurahisha?
  4. Mpenda kazi

    Mwabukusi: Watanzania waambie waandamane kwa ajili ya Simba au Yanga, wataandamana hata uchi

    Kwahiyo nyie wamikoani mko tayari kufa. Basi hayo maandamano kafanyieni Dodoma huko si ndio makao makuu.
  5. Mpenda kazi

    Ofisi ya Rais – TAMISEMI Special Thread: Karibu tukuhudumie, tupe Maoni, Maswali, Mapendekezo na Malalamiko

    Watumishi wa umma ambao tumeomba UHAMISHO kwa kutumia mfumo wa ESS na maombi yanaonesha yapo TAMISEMI ni lini mtayashughulikia na kutoa majina ya UHAMISHO?
  6. Mpenda kazi

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Hivi uhamisho mwaka huu majina hayotoki nini?
  7. Mpenda kazi

    Mpangaji sema unataka kupanga wapi mwenye nyumba akujibu mmalizane bila udalali

    Kwa wazoefu wa chamazi, naweza pata chumba na sebule kwa sh.60000 kwa mwezi. Choo nje?
  8. Mpenda kazi

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nahitaji mwalimu wa kubadilishana nae aje Halmashauri ya Arusha dc nije; 1. Temeke 2. Ilala 3.Kigamboni 4.Ubungo 5.Kinondoni 6.Mkuranga 7.Bagamoyo 8.Chalinze 9.Kibaha 10.Kisarawe Msingi Njoo pm au 0717743549 tuma sms ya kawaida au whatsup.
  9. Mpenda kazi

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nipo Arusha dc msingi nahitaji wa kubadilishana nae kutoka; Jiji la Dsm Temeke Kigamboni Ubungo Kisarawe Mkuranga Bagamoyo 0717743549
  10. Mpenda kazi

    Natafuta mwekezaji katika shamba langu heka 10 mkoa wa Arusha

    Mwandeti ni kitongoji kilichopo kijiji cha bwawani kata ya Bwawani. sasa ulikosea uliposema ni Nduruma, kwani Nduruma ni kata nyingine nje ya bwawani. ila umeeleweka kiongozi.
  11. Mpenda kazi

    Natafuta mwekezaji katika shamba langu heka 10 mkoa wa Arusha

    Sasa hilo shamba lako lipo kata ya Bwawani sio Nduruma. mimi ndio kazini kwangu huku (mwalimu). Umekwama wapi mkuu kuliendesha mkuu? kilimo huku kinalipa sana na kama shamba lina irrigation system ndio kabisa.
Back
Top Bottom