Recent content by Mpenda kazi

  1. Mpenda kazi

    JamiiForums Tanzania Nauza FACEBOOK PAGE inayopekea malipo (Monetized)

    Nauza FACEBOOK PAGE Ina followers 46k na Inapokea malipo (monetization). Njoo 0717743549 njoo tuongee bei.
  2. Mpenda kazi

    JamiiForums Tanzania Wapi ulienda ukakuta ardhi bei ya kutupwa?

    Hizi ndio post zangu
  3. Mpenda kazi

    JamiiForums Tanzania Pori kuwa shamba mkoani Morogoro

    Na mimi pia
  4. Mpenda kazi

    JamiiForums Tanzania Majibu ya TANESCO kuhusu changamoto za wateja zilizowasilishwa kupitia JamiiForums - Juni 2026

    Nimefanya maombi ya umeme tokea mwezi wa nne hadi sasa sijapata control namba na surveyor alishakuja kwangu. Nilifika ofisini Chanika majbu ni kwamba hakuna NGUZO. Mpaka sasa sijaunganishiwa nomba mnisaidie namba ya ombi 290426-0330
  5. Mpenda kazi

    JamiiForums Tanzania Sina ujasiri wa kuacha kazi

    Hongera sana. Mwenzio Bado napambana
  6. Mpenda kazi

    JamiiForums Tanzania Ni kosa gani la kifedha ulilofanya ukiwa na miaka 18–25 ambalo bado unalijutia hadi leo?

    Nilishirikiana na demu Fulani akatoa mimba.
  7. Mpenda kazi

    JamiiForums Tanzania Yanga ina mashabiki Waislamu, Wakristo, wapagani, wanachama wa CCM, CHADEMA, CUF, wasionachama n.k

    Tatizo hujui asili halisi ya uanzishwaji wa Yanga, walionzisha Yanga, na asili ya eneo ambalo Yanga imeanzishwa.
  8. Mpenda kazi

    JamiiForums Tanzania Wadau wa Cryptocurrency njooni tushauriane coins za kununua!

    Nakushauri nunua PI coin na chimba PI kwa njia ya simu weka muda wa miaka 3 utakuja kunishukuru.
  9. Mpenda kazi

    JamiiForums Tanzania Nchi za Kikristo zinawezaje kuishi kwa amani namna nii?

    Hizo nchi zina UTAJIRI wa aina yoyote mkubwa kama MAFUTA? Zinaingiliwa na nchi zingine katika chaguzi zao, migogoro yao ya ndani n.k? Hadi umri huo hujui kwanini baadhi ya nchi za imani tofauti na UKRISTO zinapigana vita vya kutengenezwa? Au umeamua kujifurahisha?
  10. Mpenda kazi

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Watanzania waambie waandamane kwa ajili ya Simba au Yanga, wataandamana hata uchi

    Kwahiyo nyie wamikoani mko tayari kufa. Basi hayo maandamano kafanyieni Dodoma huko si ndio makao makuu.
  11. Mpenda kazi

    JamiiForums Tanzania Ofisi ya Rais – TAMISEMI Special Thread: Karibu tukuhudumie, tupe Maoni, Maswali, Mapendekezo na Malalamiko

    Watumishi wa umma ambao tumeomba UHAMISHO kwa kutumia mfumo wa ESS na maombi yanaonesha yapo TAMISEMI ni lini mtayashughulikia na kutoa majina ya UHAMISHO?
Back
Top Bottom