Hizo nchi zina UTAJIRI wa aina yoyote mkubwa kama MAFUTA?
Zinaingiliwa na nchi zingine katika chaguzi zao, migogoro yao ya ndani n.k?
Hadi umri huo hujui kwanini baadhi ya nchi za imani tofauti na UKRISTO zinapigana vita vya kutengenezwa? Au umeamua kujifurahisha?
Watumishi wa umma ambao tumeomba UHAMISHO kwa kutumia mfumo wa ESS na maombi yanaonesha yapo TAMISEMI ni lini mtayashughulikia na kutoa majina ya UHAMISHO?
Nahitaji mwalimu wa kubadilishana nae aje Halmashauri ya Arusha dc nije;
1. Temeke
2. Ilala
3.Kigamboni
4.Ubungo
5.Kinondoni
6.Mkuranga
7.Bagamoyo
8.Chalinze
9.Kibaha
10.Kisarawe
Msingi
Njoo pm au 0717743549 tuma sms ya kawaida au whatsup.
Mwandeti ni kitongoji kilichopo kijiji cha bwawani kata ya Bwawani. sasa ulikosea uliposema ni Nduruma, kwani Nduruma ni kata nyingine nje ya bwawani. ila umeeleweka kiongozi.
Sasa hilo shamba lako lipo kata ya Bwawani sio Nduruma. mimi ndio kazini kwangu huku (mwalimu). Umekwama wapi mkuu kuliendesha mkuu? kilimo huku kinalipa sana na kama shamba lina irrigation system ndio kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.