Recent content by MpembuziYakinifu

  1. M

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya kampuni za mawasiliano acheni masihara, fungeni cable zenye uwezo wa kurusha 5G, na sio 5G ya maneno matupu wakati vipimo vinaonesha 3G

    Nimecheck sasahivi 5G router a airtel inadownload Kwa 6.72 na ku upload Kwa 9.69 per second ninawasilisha
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nina 65M nifanye biashara gani?

    Viwanda vingi vinakufa kwa kukosa strategy na model nzuri za mauzo. Kiwanda changu kinalenga eneo la walaji lililosahaulika, nina model yaki pekee ya usambazaji. Karibu kwa mazungumzo zaidi, ni hatari kuzungumza kila kitu hapa. Hatuzalishi maji japo bidaa inahusiana a maji
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nina 65M nifanye biashara gani?

    Anahitajika partner kwenye kiwanda kidogo kinachotahitaji upanuzi, njoo pembeni kwa maekekezo kufika kiwandani hapa mbezi makabe kwa maongezi.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Harakati za msanii Mack Dizzo kwenye game ya bongo fleva

    Tupe story zaidi kuhusu uhusiano wako ba unique sisters, tuambie kihusu too proud, zungumzia wimbo wako wa Mja wako ( this is my favourate), zungumzia Amana vijana center. Waeleze vijana jinsi ilala ilivyochangia ukuaji wa muziki kwa ujumla.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Huyu ndiye FIRAUNI/FARAO na maajabu ya maiti yake kutokuoza

    Kutokuoza kwa maiti ya huyo hayati ni kwa kuwa misri ya wakati huo walikuwa akifanya mummyfication Hayati Ramsesse II hawezi kuoza sababu alifanyiwa mummyfication kwa taratibu za misri ya wakati huo. Hivyo hivyo kwa waliomfuatia kama akina Tuttkahmoon na wengine wengi. Issue ya kuzikwa na...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Unaweza kutekwa, na ukapigwa kwa amani kabisa, ila watakaokuokota ndio wataleta siasa

    Matumizi mazuri ya lugha katika uwasilishaji wa maada hii, unewaacha hadhira wasielewe ujumbe uliomo. Na ni kiswahili kimeandikwa hapo, dah.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mzee mmoja aliwahi kuniambia Wajerumani ni wachawi Watanzania hatuoni ndani. Je, yana ukweli wowote?

    Wakati ninasoma shule ya msingi miaka hiyo, kulikuwa na mzee kama huyo uliyemsimulia, akijulikana kwa jina la utani tu la NYAU, lilizoeleka kwakuwa alikichukia, akiishj maisha ya upweke kwenye kibanda kidogo pembeni ya shule, mpaka miaka hiyo ya 90 mwanzoni, alikuwa bado akivaa mavazi ya...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta Santuri (CD kubwa za zamani aina ya Gramophone)

    Boss tukutane PM , tubadirishane hiyo Player kwa vipande vya fedha.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Tujuane wadau wa biashara, ulipo na bidhaa zako

    Eminza Food Products Je unaishi au una biashara jirani na shule? Una deep freezer? Sisi ni wazalishaji wa bidhaa ya Bingo Tropical Ice Candy katika ladha tofauti, bidhaa yetu itakupa faida ya mpaka Tsh 10,000 kwa siku baada ya mauzo. Tunapatikana Mbezi Luis, Dsm. Kwa maelezo zaidi na deal ya...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Fahamu kuhusu msukule

    Hebu tupatie masharti ya kummiliki huyo msukule tuyajue pia.
Back
Top Bottom