Recent content by Mpemba Mimi

  1. Mpemba Mimi

    Mdau: Bilioni 151 zilizozidi kwenye ujenzi wa Uwanja wa Arusha zingeweza kujenga Barabara ya lami Kilometa 151

    Hata hii barabara ya Morogoro (Morogoro road); kutoka Kibaha mpaka Morogoro ingekuwa imekwisha.
  2. Mpemba Mimi

    Je ni sahihi mke kulala na nguo akiwa na mumewe?

    Kwani unaona shida kumwambia avue ukitaka kum-kula?
  3. Mpemba Mimi

    Je ni sahihi mke kulala na nguo akiwa na mumewe?

    Watu tunadinya tu - hata kama kuna Msiba...
  4. Mpemba Mimi

    Unaumwa uko hoi kitandani, mke anaenda Dubai kurefresh, anayekupenda kweli ni baba na mama tu

    Hebu i-cement kidogo...Dadavua...Maana umeiacha hewani hii kitu...
  5. Mpemba Mimi

    Mchepuko wangu kaolewa, haya maumivu sijui nifanye nini

    Sasa unahuzunika nini? Si utaendelea tu kumpiga miti? Au ameolewa na kwenda Mkoa?
  6. Mpemba Mimi

    KERO Ni aibu kituo cha gas ya magari TPDC kuwanyima wateja Kutumia choo

    Dah...Pole sana Mkuu...Hao watu wabaya sana...Maana usingeweza hata kukijaza...Ilikuwa ndogo au Kubwa Mkuu?
  7. Mpemba Mimi

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kibaha

    Hiyo ni Visiga karibu na nini Mkuu?
  8. Mpemba Mimi

    Viongozi wengi kuoa Uchagani. Kuna nini huko?

    Ngoja niweke Kambi hapa nisikie comment za watu...Inaonekana huko uchagani either kuna Madini, au wachaga wanajua kuona mbali kwa mtu na kuchangamkia fursa....Ngoja nisubiri lakini.
  9. Mpemba Mimi

    Hodi Wana JF, Popobawa Nimefika na naomba mnipokee

    Karibu PEMBA Yakheeeeee...........
  10. Mpemba Mimi

    Muda wowote kuanzia sasa huenda kikanuka, jaza mahitaji muhimu sasa usisubiri mpaka tarehe 8 December

    Ngoja nipite pale Mitaa ya sijui ni Keko ile au Chang’ombe, nichukue box za NYAGI za jumla za kutosha, niweke ndani. Black label na Red label ninazo za kutosha. Bia hazifai kipindi hicho - maana kutakuwa hakuna mazoezi.
  11. Mpemba Mimi

    Wanajeshi JWTZ wenye silaha warudi kulinda Dar es Salaam, kulikoni?

    Kanali akipita si itabidi wampogie saluti?
  12. Mpemba Mimi

    Kibu Denis ametia aibu kushindwa kujengea wazazi wake

    Sasa Matola ndio ameona hapo ni sehemu ya kujipiga self kweli?
  13. Mpemba Mimi

    Mwanamke age-mate wako aliyekukataa wakati ana miaka 21, atajisogeza kwako akifika miaka 30

    Safi sana Mkuu...Usikaache hako....Ulikapatia wapi? Manyoni au Singida mjini?
Back
Top Bottom