Ngoja niweke Kambi hapa nisikie comment za watu...Inaonekana huko uchagani either kuna Madini, au wachaga wanajua kuona mbali kwa mtu na kuchangamkia fursa....Ngoja nisubiri lakini.
Ngoja nipite pale Mitaa ya sijui ni Keko ile au Chang’ombe, nichukue box za NYAGI za jumla za kutosha, niweke ndani. Black label na Red label ninazo za kutosha. Bia hazifai kipindi hicho - maana kutakuwa hakuna mazoezi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.