Recent content by Mpemba Mimi

  1. Mpemba Mimi

    JamiiForums Tanzania Kumbe tumefika Namba Q na hamsemi? DJ niletee 'wasiojulikana' mbele... Halafu kuna malegend wasioweka plate kabisa!

    Labda amepewa hiyo namba in-advance.....Labda tuulize TRA - kama mtu unaweza kununua namba yoyote iliyo mbele - hata kama haijafikiwa.
  2. Mpemba Mimi

    JamiiForums Tanzania Ndio maana watu huwa hawapendi kutoa lift

    Hiyo itakuwa nI MBAGALA Mkuu.
  3. Mpemba Mimi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo wajanja wengi mitandaoni wamekiri ni bora kuoa bikira. Lile pango limewatisha

    Mkuu weka kapicha kidogo, labda hilo PANGO linaweza kuwashawishi wizara ya MALIASILI NA UTALII wakaliongezea kwenye MAPANGO YA AMBONI - tukaongeza vivutio vya UTALII na kuongeza mapato ya nchi (GDP), na haswa FOREIGN CURRENCY.
  4. Mpemba Mimi

    JamiiForums Tanzania Mdau: Bilioni 151 zilizozidi kwenye ujenzi wa Uwanja wa Arusha zingeweza kujenga Barabara ya lami Kilometa 151

    Hata hii barabara ya Morogoro (Morogoro road); kutoka Kibaha mpaka Morogoro ingekuwa imekwisha.
  5. Mpemba Mimi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je ni sahihi mke kulala na nguo akiwa na mumewe?

    Kwani unaona shida kumwambia avue ukitaka kum-kula?
  6. Mpemba Mimi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je ni sahihi mke kulala na nguo akiwa na mumewe?

    Watu tunadinya tu - hata kama kuna Msiba...
  7. Mpemba Mimi

    JamiiForums Tanzania Picha za Ayatollah Khamenei akikaribishwa Firdaus na Imam Hussein ziko mbioni kutoka.

    Kwani hii ya Elon Musk haifiki huko?
  8. Mpemba Mimi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaumwa uko hoi kitandani, mke anaenda Dubai kurefresh, anayekupenda kweli ni baba na mama tu

    Hebu i-cement kidogo...Dadavua...Maana umeiacha hewani hii kitu...
  9. Mpemba Mimi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mchepuko wangu kaolewa, haya maumivu sijui nifanye nini

    Sasa unahuzunika nini? Si utaendelea tu kumpiga miti? Au ameolewa na kwenda Mkoa?
  10. Mpemba Mimi

    JamiiForums Tanzania KERO Ni aibu kituo cha gas ya magari TPDC kuwanyima wateja Kutumia choo

    Dah...Pole sana Mkuu...Hao watu wabaya sana...Maana usingeweza hata kukijaza...Ilikuwa ndogo au Kubwa Mkuu?
  11. Mpemba Mimi

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kibaha

    Hiyo ni Visiga karibu na nini Mkuu?
  12. Mpemba Mimi

    JamiiForums Tanzania Viongozi wengi kuoa Uchagani. Kuna nini huko?

    Ngoja niweke Kambi hapa nisikie comment za watu...Inaonekana huko uchagani either kuna Madini, au wachaga wanajua kuona mbali kwa mtu na kuchangamkia fursa....Ngoja nisubiri lakini.
  13. Mpemba Mimi

    JamiiForums Tanzania Hodi Wana JF, Popobawa Nimefika na naomba mnipokee

    Karibu PEMBA Yakheeeeee...........
  14. Mpemba Mimi

    JamiiForums Tanzania Muda wowote kuanzia sasa huenda kikanuka, jaza mahitaji muhimu sasa usisubiri mpaka tarehe 8 December

    Ngoja nipite pale Mitaa ya sijui ni Keko ile au Chang’ombe, nichukue box za NYAGI za jumla za kutosha, niweke ndani. Black label na Red label ninazo za kutosha. Bia hazifai kipindi hicho - maana kutakuwa hakuna mazoezi.
Back
Top Bottom