Wewe shangilia tu - ila ujue na uchumi wako unashuka pia. Uchumi wa mtu mmoja mmoja unashuka kwa watu kukaa nyumbani. Kuna watu wamejiajiri - sio waajiriwa kama wewe. Wenzako waliojiajiri - wakikaa nyumbani - pesa haiingii kama wewe ulieajiriwa. Sasa hesabu hizo siku ambazo mnafanya watu...
Mkuu weka kapicha kidogo, labda hilo PANGO linaweza kuwashawishi wizara ya MALIASILI NA UTALII wakaliongezea kwenye MAPANGO YA AMBONI - tukaongeza vivutio vya UTALII na kuongeza mapato ya nchi (GDP), na haswa FOREIGN CURRENCY.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.