Recent content by Mpemba Mimi

  1. Mpemba Mimi

    JamiiForums Tanzania Serikali iruhusu video za uchi na ngono mitandaoni na vipindi vya luninga

    Umeeleweka Mkuu....Hebu tuma hapa za kwako tuzione...tuanze kuziangalia sasa hivi....
  2. Mpemba Mimi

    JamiiForums Tanzania Pigeni mswaki

    Wala sio jasho peke yake.......
  3. Mpemba Mimi

    JamiiForums Tanzania Kwa hali hii, waandaaji wa Maandamano wameshinda kwa 100%

    Wewe shangilia tu - ila ujue na uchumi wako unashuka pia. Uchumi wa mtu mmoja mmoja unashuka kwa watu kukaa nyumbani. Kuna watu wamejiajiri - sio waajiriwa kama wewe. Wenzako waliojiajiri - wakikaa nyumbani - pesa haiingii kama wewe ulieajiriwa. Sasa hesabu hizo siku ambazo mnafanya watu...
  4. Mpemba Mimi

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Martin Chegere awa Profesa wa Uchumi

    Mkuu - Amekuwa Associate Professor - Na sio Professor (Full). Kuna tofauti...
  5. Mpemba Mimi

    JamiiForums Tanzania Kumbe tumefika Namba Q na hamsemi? DJ niletee 'wasiojulikana' mbele... Halafu kuna malegend wasioweka plate kabisa!

    Labda amepewa hiyo namba in-advance.....Labda tuulize TRA - kama mtu unaweza kununua namba yoyote iliyo mbele - hata kama haijafikiwa.
  6. Mpemba Mimi

    JamiiForums Tanzania Ndio maana watu huwa hawapendi kutoa lift

    Hiyo itakuwa nI MBAGALA Mkuu.
  7. Mpemba Mimi

    JamiiForums Tanzania Leo wajanja wengi mitandaoni wamekiri ni bora kuoa bikira. Lile pango limewatisha

    Mkuu weka kapicha kidogo, labda hilo PANGO linaweza kuwashawishi wizara ya MALIASILI NA UTALII wakaliongezea kwenye MAPANGO YA AMBONI - tukaongeza vivutio vya UTALII na kuongeza mapato ya nchi (GDP), na haswa FOREIGN CURRENCY.
  8. Mpemba Mimi

    JamiiForums Tanzania Mdau: Bilioni 151 zilizozidi kwenye ujenzi wa Uwanja wa Arusha zingeweza kujenga Barabara ya lami Kilometa 151

    Hata hii barabara ya Morogoro (Morogoro road); kutoka Kibaha mpaka Morogoro ingekuwa imekwisha.
  9. Mpemba Mimi

    JamiiForums Tanzania Je ni sahihi mke kulala na nguo akiwa na mumewe?

    Kwani unaona shida kumwambia avue ukitaka kum-kula?
  10. Mpemba Mimi

    JamiiForums Tanzania Je ni sahihi mke kulala na nguo akiwa na mumewe?

    Watu tunadinya tu - hata kama kuna Msiba...
  11. Mpemba Mimi

    JamiiForums Tanzania Picha za Ayatollah Khamenei akikaribishwa Firdaus na Imam Hussein ziko mbioni kutoka.

    Kwani hii ya Elon Musk haifiki huko?
  12. Mpemba Mimi

    JamiiForums Tanzania Unaumwa uko hoi kitandani, mke anaenda Dubai kurefresh, anayekupenda kweli ni baba na mama tu

    Hebu i-cement kidogo...Dadavua...Maana umeiacha hewani hii kitu...
  13. Mpemba Mimi

    JamiiForums Tanzania Mchepuko wangu kaolewa, haya maumivu sijui nifanye nini

    Sasa unahuzunika nini? Si utaendelea tu kumpiga miti? Au ameolewa na kwenda Mkoa?
  14. Mpemba Mimi

    JamiiForums Tanzania KERO Ni aibu kituo cha gas ya magari TPDC kuwanyima wateja Kutumia choo

    Dah...Pole sana Mkuu...Hao watu wabaya sana...Maana usingeweza hata kukijaza...Ilikuwa ndogo au Kubwa Mkuu?
  15. Mpemba Mimi

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kibaha

    Hiyo ni Visiga karibu na nini Mkuu?
Back
Top Bottom