Baadhi ya wafanyakazi wa NMB Tarime si waaminifu , unapokwenda kuchukua hela zaidi ya laki tano, usipo hesabia palepale, utajikuta unachukua hela pungufu.
Hii imenitokea wiki iliyopita nilichukua milioni mbili na nikawa nimepewa za noti ya tsh elfu mbili na zilikuwa zimefungwa kwa...
Upinzani unatakiwa kuwepo nchini ili wananchi waweze kuchagua chama wanachokitaka. Pia upinzani unasaidia kuikumbusha serikali kutekeleza ahadi zake ilizokuwa imezitoa. Hivyo, nahisi kuwa vyama Vya upinzani vitaweza kupotea Kabisa endapo katiba yetu itatamka wazi kuwa nchi INA chama kimoja cha...
Rais wa jamhuri ya muungano dkt john pombe Joseph magufuli ktk kampeni zake za Lusaka urais 2015 hakuwahi kutamka kuwa atakamilisha /ataendelea na ukamilishaji wa katiba.
Mimi nijuavyo na ninavyofikiria ,Mh Rais john pombe Joseph magufuli atashughulika na ukamilishaji wa katiba Mpya kuanzia...
Kuuza nyumba za serikali,hakukumchafua kwa vile hela iliyopatikana,iliwekwa kwenye akaunti ya serikali. Hivyo huwezi kumtuhumu . pia ktk uuzaji huo, JPM alisimamia utekelezaji kulingana na maamuzi ya serikali ya awamu ya tatu ambayo iliona kuwa nyumba hizo zilihitaji gharama kubwa ya fedha...
Tatizo ni kwa wana kibiti kutoweka wazi sababu ya mauaji dhidi ya watu wasiokuwa na hatia. Kama tungeliweza kujua chanzo/tatizo LA mauaji,hapo tungeliweza kutoa maoni yetu juu ya nn kifanyike ili kuzuia mauaji na uhasama huko kibiti !
John Heche mbunge wa tarime vijijini,napenda pia kumshukuru kwa kuonesha namna wananchi wa Tarime wanavyozurumika na kutopewa haki zao za msingi kwani uongozi wa Acacia unatumia janja na sababu nyingi kukwepa kufidia wananchi wanaoishi ndani ya mita 200 kinyume na Sheria ya madini ya mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.