Mbna umemjibia apo sijaelewahapana kwa kweli
Nimepatia enh....
Hapana Kwanzaa kweli wakati siyo wewe? Unaijua size ya aliyonayo huyo mwalimu? Usimjibie mengine mwambie watakutana PM wenyewehapana kwa kweli
Bilashaka,anatafuta mume,siyo majamaa wakumgonga nakumuacha,hao maranyingi huwa hawakosekani nasiyo wakutafuta,mume siku hizi ni dili sana,hatakama hana vigezo anavyotaka muolewaji.Inaonyesha Wote wawili Wewe na huyo Mwenzako mna bahati mbaya na dhiki mno na Wanaume. Jitakaseni Kwanza mtaolewa tu. Ukina Mwanamke anatafuta Mume Mitandaoni jua ya kwamba amefilisika fikra / upeo kwa kiwango cha juu kabisa na hayuko pia mbali kuwa Mwendawazimu wa Kutukuka.
Yaan Mwalimu mzima anashindwa kujiongeza! Sie uwa tunafanya hivi; tunaitisha vikao vya wazazi wa wawanafunzi kisha tuna anza kupoint. Mwambie ajiongeze watakuja wametia suti za hatari na magari yakutoshaSalama jamani,
Nisiwe mnafki japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.
Bado nina iman mpo mlioserious ni mwl yupo Mbeya Uyole ana 28 hajawai zaa she is a Ngoni one primary school teacher maji ya kunde kuelekea weupe mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo mpole sana mambo mengine mtaulizana.
Samahani jamani yupo serious sana.
Naomba pm msije na utaniutani jamani plz.