kiukweli nashindwa kuelewa jambo hl,kuwa wanandoa mnaishije kwenye ndoa bila Yesu?sasa si mtaishi kutoana ngeu humo ndani?na kwenda jehanamu kwenye moto wa milele?okokeni vijana wenzangu,kwa YESU ni raha tupu.ujumbe huu wafikishie na wengine.sina meng kwa leo.
hili tatizo sijui litaisha ln,2muombe Mungu a2saidie.maana hakuna k2 kinapoteza maendeleo kama itikadi za dini.alafu mada kama hz hazifai kuwekwa kwenye jopo la wasomi namna hii.2we makin sana.
Yaana kinachonishangaza, kila unayeongea naye, anasema mwaka wa tatu usiishe kabla cjapata mke/mme, sasa nashindwa kuelewa hv huko mtaan hamna wachumba, au ndio vyuoni kumegeuka kuwa INDUSTRY 4 Mariage?
Nisaidieni hl wasomi wenzangu.
usia huu nauwasilisha kwenu ninyi wana jf,ili wote kwa ujumla tuwe chachu ya mabadiliko,maana mambo 2nayofanya cjui YESU akirud 2taendaje naye kwa matendo ye2 maovu.jamani tuacheni uzinzi ukimwi adhabu ya ukimwi itatumaliza pia inaniuma sana watoto wanavyotupwa,mimba zinazotolewa bila hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.